Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MAENEO TOFAUTI YA DAR ES SALAAM YANAONEKANA HIVI JIJINI DAR ES SALAA KWA SASA KATIKA UCHAGUZI MKUU
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



Hapa ni Magomeni Dar es Salaam.

Barabara ya Msimbazi Center October 25, 2015.

Hapa ni njia panda ya Kigogo panavyoonekana.

Msimbazi Center Dar es Salaam.


.Barabara ya Kawawa, hapa ni Ilala Dar es Salaam hali ya hapa ni tofauti na siku za kawaida kwa sababu watu wengi wapo katika vituo vya kupigia kura.







Pichani kwa mbali Wananchi wakiwa katika zoezi la kusubiri kupiga kura huu ni mtaa wa Kariakoo Dar es Salaam.







Moja kati ya magari mapya ya  Askari  kwa ajili ya kulinda Usalama Tanzania.

Wakazi wa wilaya ya Temeke wakiwa katika harakati za kusubiri kuingia katika chumba cha kupigia Kura,




Huduma za usafiri wa Daladala umesimama kwa muda kutoka na Uchaguzi Mkuu 2015.




Barabara ya Kawawa, hapa ni kuelekea Kinondoni hali ni shwari

Wafanyabiashara wa wilaya ya Kinondoni nao wamefunga maduka kuelekea katika vituo vya kupigia kura.


Hapa ni maeneo ya Kinondoni.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MAENEO TOFAUTI YA DAR ES SALAAM YANAONEKANA HIVI JIJINI DAR ES SALAA KWA SASA KATIKA UCHAGUZI MKUU



Hapa ni Magomeni Dar es Salaam.

Barabara ya Msimbazi Center October 25, 2015.

Hapa ni njia panda ya Kigogo panavyoonekana.

Msimbazi Center Dar es Salaam.


.Barabara ya Kawawa, hapa ni Ilala Dar es Salaam hali ya hapa ni tofauti na siku za kawaida kwa sababu watu wengi wapo katika vituo vya kupigia kura.







Pichani kwa mbali Wananchi wakiwa katika zoezi la kusubiri kupiga kura huu ni mtaa wa Kariakoo Dar es Salaam.







Moja kati ya magari mapya ya  Askari  kwa ajili ya kulinda Usalama Tanzania.

Wakazi wa wilaya ya Temeke wakiwa katika harakati za kusubiri kuingia katika chumba cha kupigia Kura,




Huduma za usafiri wa Daladala umesimama kwa muda kutoka na Uchaguzi Mkuu 2015.




Barabara ya Kawawa, hapa ni kuelekea Kinondoni hali ni shwari

Wafanyabiashara wa wilaya ya Kinondoni nao wamefunga maduka kuelekea katika vituo vya kupigia kura.


Hapa ni maeneo ya Kinondoni.


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :