Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » TAIFA MAGONGO KUIVAA ZIMBABWE
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa magongo kesho jumamosi inatarajia kushuka dimbani kutupa karata yake ya kwanza muda wa saa nane mchana itakapoikabili Zimbabwe katika michuano ya Afrika ya kufuzu fainali za Olompiki zitakazofanyika mjini Rio nchini Brazili mwaka 2016.

Siku ya jumapili Timu ya Wanaume ya Tanzania itaumanana Misri katika mwendelezo wa michuano hiyo.

Na Mashindano hayo yatafikia tamati mapema mwezi Novemba ambapo yanashirikisha Timu mbalimbali kutoka Nigeria,Zimbabwe,Ghana,Tanzania, Namibia, Misri , pamoja na kenya kwa Timu za wanawake na wanaume.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / TAIFA MAGONGO KUIVAA ZIMBABWE


Timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa magongo kesho jumamosi inatarajia kushuka dimbani kutupa karata yake ya kwanza muda wa saa nane mchana itakapoikabili Zimbabwe katika michuano ya Afrika ya kufuzu fainali za Olompiki zitakazofanyika mjini Rio nchini Brazili mwaka 2016.

Siku ya jumapili Timu ya Wanaume ya Tanzania itaumanana Misri katika mwendelezo wa michuano hiyo.

Na Mashindano hayo yatafikia tamati mapema mwezi Novemba ambapo yanashirikisha Timu mbalimbali kutoka Nigeria,Zimbabwe,Ghana,Tanzania, Namibia, Misri , pamoja na kenya kwa Timu za wanawake na wanaume.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :