Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » DOLA 20 BILIONI ZA NIGERIA ZIMEFICHWA NJE YA NCHI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Benki kuu ya Nigeria imesema kuwa baadhi ya matajiri nchini humo wameficha dola bilioni 20 katika akunti zao za kubadilishana fedha za kigeni.
Gavana wa Benki Godwin Emefiele amewaambia mawakili kwamba ufichaji huo unatishia thamani ya sarufu ya Nigirea,Naira.
Onyo hilo linajiri huku serikali na benki kuu zikijaribu kudumisha thamani ya sarufi hiyo ambayo kwa sasa inabadilishana Naira 200 kwa dola moja.
Bwana Emefiele pia amedai kwamba watu fulani wanaharibu thamani ya Nair kupitia uvumi.


Nigeria hutegemea sana mauzo ya mafuta ili serikali kupata mapato pamoja na fedha za kigeni.
Kushuka kwa bei ya mafuta kumepunguza hifadhi ya fedha za kigeni za taifa hilo.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / DOLA 20 BILIONI ZA NIGERIA ZIMEFICHWA NJE YA NCHI

Benki kuu ya Nigeria imesema kuwa baadhi ya matajiri nchini humo wameficha dola bilioni 20 katika akunti zao za kubadilishana fedha za kigeni.
Gavana wa Benki Godwin Emefiele amewaambia mawakili kwamba ufichaji huo unatishia thamani ya sarufu ya Nigirea,Naira.
Onyo hilo linajiri huku serikali na benki kuu zikijaribu kudumisha thamani ya sarufi hiyo ambayo kwa sasa inabadilishana Naira 200 kwa dola moja.
Bwana Emefiele pia amedai kwamba watu fulani wanaharibu thamani ya Nair kupitia uvumi.


Nigeria hutegemea sana mauzo ya mafuta ili serikali kupata mapato pamoja na fedha za kigeni.
Kushuka kwa bei ya mafuta kumepunguza hifadhi ya fedha za kigeni za taifa hilo.


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :