Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » KESI YA MH. MREMA NA JAMES MBATIA KUANZA KUSIKILIZWA MARCH 21 MWAKA HUU
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



Na: geofrey stephen-Moshi.

Kesi ya wanasiasa maarufu nchini  akiwemo  Mwenyekiti wa TLP Dr  Augustino Lyatonga Mrema na mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia wote wakiwa wameshakuwa wabunge wa jimbo la Vunjo kwa vipindi tofauti jana imeingia siku ya pili na kuvuta umati mkubwa wa wakazi wa jiji la Moshi.

Siku ya juzi march 14.2016 ilikuwa siku maalumu kwa Jaji Mussa Mwandabo kutolea maamuzi ya hoja iliyoletwa na wakili wa mkuu wa serekali Mark Mwalambo mahakamani hapo kuhusiana na sheria inayowataka upande wa walalamikaji kupeleka kiapo cha mashahidi wa kesi hiyo ndani ya masaa 48 kwa mujibu wa sheria ya kesi ya uchaguzi iliyotungwa mwaka 2012 ambapo juzi kesi hiyo iliarishwa mpaka jana majira ya saa tatu na nusu asubuhi ilipoitwa tena.

Hata hivyo Jaji   alitoa maamuzi ya kuwapa masaa 48 ambapo aliagiza upande wa mlalamikaji Dr Agustino Lyatonga Mrema chini ya wakili wake January Mkoboko kuakikisha mpaka siku ya ijumaa saa 10:30 asubuhi wanawakilisha viapo vya mashaidi wao 25 ikiwa imefungwa katika bahasha na kukabidhi mahakamani

Mlalamikaji katika kesi hiyo Dr Mrema alitolea ufafanuzi  kuhusiana na hoja iliyowekwa na upande wa walalamikiwa  kuwa Mrema amevunja katiba ya chama chake cha TLP na kusema kuwa aliamua kumuunga mkono mgombea  wa CCm kwa sababu alitumia  busara kuangalia kiongozi anayefaa kuwa Rais miongoni mwa wagombea nane waliokuwepo.


kesi hiyo itaanza  kusikilizwa mfululizo siku ya jumatatu March 21 mwaka huu baada ya   wakili wa serekali Mark Mwalambo kuomba kesi hiyo isikilizwe baada ya wiki ya pasaka na jaji kukataa na kutoa amri ya kesi kuanza haraka kusikilizwa siku ya jumatatu majira ya saa tatu kamili asubuhi .

MWISHO

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / KESI YA MH. MREMA NA JAMES MBATIA KUANZA KUSIKILIZWA MARCH 21 MWAKA HUU



Na: geofrey stephen-Moshi.

Kesi ya wanasiasa maarufu nchini  akiwemo  Mwenyekiti wa TLP Dr  Augustino Lyatonga Mrema na mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia wote wakiwa wameshakuwa wabunge wa jimbo la Vunjo kwa vipindi tofauti jana imeingia siku ya pili na kuvuta umati mkubwa wa wakazi wa jiji la Moshi.

Siku ya juzi march 14.2016 ilikuwa siku maalumu kwa Jaji Mussa Mwandabo kutolea maamuzi ya hoja iliyoletwa na wakili wa mkuu wa serekali Mark Mwalambo mahakamani hapo kuhusiana na sheria inayowataka upande wa walalamikaji kupeleka kiapo cha mashahidi wa kesi hiyo ndani ya masaa 48 kwa mujibu wa sheria ya kesi ya uchaguzi iliyotungwa mwaka 2012 ambapo juzi kesi hiyo iliarishwa mpaka jana majira ya saa tatu na nusu asubuhi ilipoitwa tena.

Hata hivyo Jaji   alitoa maamuzi ya kuwapa masaa 48 ambapo aliagiza upande wa mlalamikaji Dr Agustino Lyatonga Mrema chini ya wakili wake January Mkoboko kuakikisha mpaka siku ya ijumaa saa 10:30 asubuhi wanawakilisha viapo vya mashaidi wao 25 ikiwa imefungwa katika bahasha na kukabidhi mahakamani

Mlalamikaji katika kesi hiyo Dr Mrema alitolea ufafanuzi  kuhusiana na hoja iliyowekwa na upande wa walalamikiwa  kuwa Mrema amevunja katiba ya chama chake cha TLP na kusema kuwa aliamua kumuunga mkono mgombea  wa CCm kwa sababu alitumia  busara kuangalia kiongozi anayefaa kuwa Rais miongoni mwa wagombea nane waliokuwepo.


kesi hiyo itaanza  kusikilizwa mfululizo siku ya jumatatu March 21 mwaka huu baada ya   wakili wa serekali Mark Mwalambo kuomba kesi hiyo isikilizwe baada ya wiki ya pasaka na jaji kukataa na kutoa amri ya kesi kuanza haraka kusikilizwa siku ya jumatatu majira ya saa tatu kamili asubuhi .

MWISHO

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :