Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » ISHA MASHAUZI AGEUKIA BONGO FLEVA NA DANSI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Msanii wa muziki miondoko ya taarabu nchini Isha Mashauzi ameamua kuanza kuimba muziki wa dansi pamoja na Bongo Flava ili kukonga nyoyo za mashabiki wake kutoka kila upande.

Akizungumza na eNews ya EATV Mashauzi amesema ameshafanya video ya wimbo unaokwenda kwa jina la ‘Jiamini” na umepokelewa vizuri sana na mashabiki kutokana na idadi ya watu ambao wamemtafuta na kumpongeza kwa uamuzi wake huo wa kuleta ladha tofauti na siyo kujikita kwenye taarabu tuu.

“Kwa sasa nimeachia video mpya ya wimbo unaoitwa ‘Jiamini’ wimbo ambao upo katika miondoko ya dansi na tayari nimeona mwitikio wake kutoka kwa mashabiki baada ya kuiachia nimepewa pongezi nyingi na ninawaahidi kwaqmba bado nitatoa ngoma kali na hivi karibuni nitaachia ngoma ya Bongo Flava inayoitwa ‘Nibembeleze” Amesema Mashauzi

“Sitaki nimlazimishe mtu kusikiliza taarabu wakati hataki ndiyo maana nimeamua niimbe pia upande mwingine ili niweze kuwapata mashabiki wa pande zote”- Amesema Isha Mashauzi

Aidha msanii huyo amesema kwa sasa hana mume bali ana mtoto mmoja wa kumzaa na wengine wa ndugu zake jambo ambalo watu wengi hawalifahamu.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / ISHA MASHAUZI AGEUKIA BONGO FLEVA NA DANSI

Msanii wa muziki miondoko ya taarabu nchini Isha Mashauzi ameamua kuanza kuimba muziki wa dansi pamoja na Bongo Flava ili kukonga nyoyo za mashabiki wake kutoka kila upande.

Akizungumza na eNews ya EATV Mashauzi amesema ameshafanya video ya wimbo unaokwenda kwa jina la ‘Jiamini” na umepokelewa vizuri sana na mashabiki kutokana na idadi ya watu ambao wamemtafuta na kumpongeza kwa uamuzi wake huo wa kuleta ladha tofauti na siyo kujikita kwenye taarabu tuu.

“Kwa sasa nimeachia video mpya ya wimbo unaoitwa ‘Jiamini’ wimbo ambao upo katika miondoko ya dansi na tayari nimeona mwitikio wake kutoka kwa mashabiki baada ya kuiachia nimepewa pongezi nyingi na ninawaahidi kwaqmba bado nitatoa ngoma kali na hivi karibuni nitaachia ngoma ya Bongo Flava inayoitwa ‘Nibembeleze” Amesema Mashauzi

“Sitaki nimlazimishe mtu kusikiliza taarabu wakati hataki ndiyo maana nimeamua niimbe pia upande mwingine ili niweze kuwapata mashabiki wa pande zote”- Amesema Isha Mashauzi

Aidha msanii huyo amesema kwa sasa hana mume bali ana mtoto mmoja wa kumzaa na wengine wa ndugu zake jambo ambalo watu wengi hawalifahamu.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :