Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » SHEIKH IBRAHIM ZAKZAKY AAMISHIWA SEHEMU ISIYOJULIKANA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Baadhi ya ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amehamishiwa sehemu isiyojulikana nchini humo.
Baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii imeripoti leo Alfajiri kwamba kiongozi huyo wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria akiwa na mke wake wamechukuliwa sehemu waliyokuwa wakizuiliwa na askari usalama wa nchi hiyo na kupelekwa kusikojulikana. Habari hiyo imethibitishwa pia na Ibrahim Musa, msemaji wa harakati hiyo ya Kiislamu ambaye ameitahadharisha serikali ya Nigeria akisisitiza kuwa itabeba jukumu la jambo lolote litakalomfika kiongozi huyo wa Harakati ya Kiislamu.
Sheikh Ibrahim Zakzaky akiwa na mke wake alitiwa mbaroni na Jeshi la Nigeria mwezi Disemba mwaka uliopita katika kituo chake cha kidini huko katika mji wa Zaria kaskazini mwa jimbo la Kaduna ambapo mamia ya Waislamu waliouawa shahidi na wengine wengi kujeruhiwa katika tukio hilo. Tokea wakati huo Sheikh Zakzaky na mkewe wamekuwa wakizuiliwa katika mojawapo ya vituo vya kijeshi vya nchi hiyo bila kufunguliwa mashktaka.
Wakati huohuo habari nyingine kutoka Nigeria zinasema kuwa watu kati ya 50 na 2000 wamepoteza maisha katika ajali iliyotokea wakati paa la kanisa moja lilipoporomoka hapo jana Jumamosi na kuwaangukia watu waliokuwa ndani ya kanisa hilo kwa ajili ya ibada. Ajali hiyo ilitokea katika mji wa Oyo katika Jimbo la Oyo.

parstoday.com

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / SHEIKH IBRAHIM ZAKZAKY AAMISHIWA SEHEMU ISIYOJULIKANA


Baadhi ya ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa Sheikh Ibrahim Zakzaky Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amehamishiwa sehemu isiyojulikana nchini humo.
Baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii imeripoti leo Alfajiri kwamba kiongozi huyo wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria akiwa na mke wake wamechukuliwa sehemu waliyokuwa wakizuiliwa na askari usalama wa nchi hiyo na kupelekwa kusikojulikana. Habari hiyo imethibitishwa pia na Ibrahim Musa, msemaji wa harakati hiyo ya Kiislamu ambaye ameitahadharisha serikali ya Nigeria akisisitiza kuwa itabeba jukumu la jambo lolote litakalomfika kiongozi huyo wa Harakati ya Kiislamu.
Sheikh Ibrahim Zakzaky akiwa na mke wake alitiwa mbaroni na Jeshi la Nigeria mwezi Disemba mwaka uliopita katika kituo chake cha kidini huko katika mji wa Zaria kaskazini mwa jimbo la Kaduna ambapo mamia ya Waislamu waliouawa shahidi na wengine wengi kujeruhiwa katika tukio hilo. Tokea wakati huo Sheikh Zakzaky na mkewe wamekuwa wakizuiliwa katika mojawapo ya vituo vya kijeshi vya nchi hiyo bila kufunguliwa mashktaka.
Wakati huohuo habari nyingine kutoka Nigeria zinasema kuwa watu kati ya 50 na 2000 wamepoteza maisha katika ajali iliyotokea wakati paa la kanisa moja lilipoporomoka hapo jana Jumamosi na kuwaangukia watu waliokuwa ndani ya kanisa hilo kwa ajili ya ibada. Ajali hiyo ilitokea katika mji wa Oyo katika Jimbo la Oyo.

parstoday.com

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :