Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

Jamii inahitaji majukwaa kama ili isikie wananchi!
Nilikemea 2008 kumakatwa yamejirudia. Si sawa
********************************************************************
In case you missed it...
  1. From now on I'll also be making assists via the controller. 👍🏼😉🎮 Happy to be an ambassador!
  2. Mesut Ozil
    • ***********************************************************************************
    1. T 2473 - Variety spice of life ! 6 am testing muscle strength, 1 pm being tested by colleagues, 6 pm the ultimate test with Granddaughter

    Amithab Bachchan

    ******************************************************************************************************************

    So thrilled to be playing at one of the biggest indoor arenas I've ever played at today, in San Juan!
    Maria Sharapova
    ************************************************************************************************************

    Thanks for keeping me on time all these years ☺️👏🏼
    I look forward to another 4 trips around the Sun with you guys!

    Novac Djokovic
     *******************************************************************************************************************
    Nape Nnauye

    *******************************************************************************************************************

    Dhamira ya kufikia uchumi wa viwanda haitofikiwa kama hatutoimarisha miundo mbinu
    ya Barabara na Upatikanaji wa mazao

    Picha Mwalimu Nyerere
    ******************************************************************************************


    There's good news concerning this guy… 🗣 “Danny Welbeck is one week away from being back in full training with the squad.”

    Danny Welbeck





Nyota huyo wa filamu za Bollywood Shah Rukh Khan ameelezea kusikitishwa na kitendo cha "kukamatwa" na mamlaka za Marekani katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Los Angeles.
Shah Rukh Khan aliwahi kuweka aliwahi kuweka mahabusu kwenye viwanja vya ndege vya Marekani awali.
Haijafahamika wazi ni kwa nini Khan alitiwa nguvuni, na kwa muda gani.
Balozi wa Marekani nchini India ameomba msamaha kwa kukamatwa kwa Khan na amesema kuwa mamlaka zinafanya kila liwezekanalo kuhakikisha tukio kama hilo halitokei tena.
Mnamo mwaka 2012, Khan alikamatwa na kushikiliwa kwenye uwanja wa ndege wa White Plains karibu na jiji la New York kwa dakika 90.
Mwaka 2009, alizuiliwa kwa muda wa saa mbili katika wanja wa ndege wa Newark.
Aliachiliwa baada ya ubalozi wa India kuingilia kati.
Khan, ambae aliwasili Los Angeles Ijumaa, aliandika kwenye ukurasa wake wa Tweeter: '' Ninaelewa kikamilifu jinsi hali ya usalama wa Marekani na dunia ulivyo. Lakini kukamatwa kwenye idara ya uhamiaji ya Marekani kila wakati inaudhi sana''.
Wafanyakazi wengi kusini mwa India leo wamepewa likizo kwa sababu ya filamu ya mwigizaji filamu inayoanza kuonyeshwa kwenye kumbi za sinema leo. 

Filamu hiyo ni ya mwigizaji nyota wa asili ya Tamil, Rajinikanth.

Hatua hiyo imechukuliwa kuzuia watu kutumia visingizio kama vile kwamba wanaugua ili wasifike kazini.

Inahofiwa wengine huenda hata wangezima simu zao au kutofika kazini bila kueleza sababu.

Filamu hiyo kwa jina Kabali inaonyeshwa katika kumbi 12,000 za sinema leo.

Rajinikanth, ni mmoja wa waigizaji wanaolipwa pesa nyingi sana bara Asia na mmoja wa waigizaji mashuhuri zaidi kutoka India.

Hata kabla ya kuzinduliwa, filamu hiyo ya Kabali, ambayo inaangazia uhalifu wa magenge, imejizolea $30m (£20m) kupitia mauzo ya haki zake.

Itatolewa pia kwa lugha za Kitelugu, Kihindi na Kimalay.

Katika miji kama vile Chennai na Bangalore, baadhi ya kampuni zimetangaza Ijumaa kuwa siku ya likizo na hata kuwapa wafanyakazi tiketi za bure wakatazame filamu hiyo.

Kampuni moja inasema imechukua hatua hiyo kuzuia watu kufika kwa wingi wakiomba likizo siku ya leo.

Rajinikanth mwenye umri wa miaka 65, ameigiza katika filamu zaidi ya 170, nyingi katika lugha ya Kitamil.
Nyota wa filamu za Bollywood Amitabh Bachchan amekana kuhusishwa na kampuni zozote za kigeni anazotumia kukwepa kulipa ushuru.
India Express imeripoti kwamba Bw Bachchan aliteuliwa mkurugenzi wa kampuni nne za kigeni mwaka 1993,zilizosajiliwa katika kisiwa cha Uingereza cha Virgin Island na Bahamas.
Yeye na nyota mwenzake wa kike Aishwarya Rai ni miongoni mwa Wahindi 500 walioorodhshwa katika gazeti la Panama,gazeti hilo limesema.
Mshauri wa Bi Rai wa maswala ya uwanahabari amehoji uhalisia wa ripoti hiyo
Gazeti la India Express liliripoti kwamba bw Bachchan alikuwa amekataa kutoa tamko lolote,lakini alitoa taarifa siku ya Jumanne akikana kujihusisha.

Amitabh Bachchan
Nyota wa filamu za Bollywood Amitabh Bachchan na Kangana Ranaut wameshinda mataji makuu katika tuzo za kitaifa za filamu nchini India.
Bachchan alishinda tuzo ya muigizaji bora kwa jukumu lake katika Piku huku Ranaut akiwa muigizaji bora upande wa wanawake kwa filamu ya Tanu Weds Manu Returns.
Tuzo ya filamu bora lilichukuliwa na Bahubali huku Sanjay Leela Bhansali akijishindia mwelekezaji bora wa filamu ya Bajirao Mastani.

Kangana Ranaut

Tuzo hizo hutolewa kila mwaka na serikali ya India.
Hiyo ni tuzo ya nne ya Bachchan.Alijishindia tuzo ya muigizaji bora mwaka 1990,2005 na 2009.
 
Mahakama katika mji mkuu wa India imeamua kwamba ni kosa kwa mke kumuita mumewe “ndovu” na kosa hilo linaweza kuwa msingi wa talaka.

Mahakama Kuu mjini Delhi imedumisha uamuzi wa mahakama ya chini uliotolewa mwaka 2012 ambao uliidhinisha talaka.

Mahakama hiyo ilisema mtu kumuita mumewe ndovu ni “kumtendea ukatili wa kiakili”.

Mfanyabiashara aliyeitwa ndovu ana umri wa miaka 35 na alikuwa na uzani wa kilo 100.

Alisema mkewe alizoea kumuaibisha kwa kuwa mnene na "kutoweza kutimiza haja yake ya kimapenzi”, vyombo vya habari India vimeripoti.

"Hatua ya aliyekata rufaa kumbandika majina na kumrushia matusi mumewe kwa mfano kumuita 'Hathi' [ndovu], 'Mota Hathi' [ndovu mnene], hata kama alikuwa mnene bila shaka ingeathiri hadhi yake na kujiamini kwake,” Jaji Vipin Sanghi alinukuliwa na gazeti la India Today.

Mwanamke huyo alikuwa ameambia mahakama hiyo kwamba madai ya mumewe hayakuwa na msingi lakini mahakama haikukubaliana naye.

INDIA

Jamii inahitaji majukwaa kama ili isikie wananchi!
Nilikemea 2008 kumakatwa yamejirudia. Si sawa
********************************************************************
In case you missed it...
  1. From now on I'll also be making assists via the controller. 👍🏼😉🎮 Happy to be an ambassador!
  2. Mesut Ozil
    • ***********************************************************************************
    1. T 2473 - Variety spice of life ! 6 am testing muscle strength, 1 pm being tested by colleagues, 6 pm the ultimate test with Granddaughter

    Amithab Bachchan

    ******************************************************************************************************************

    So thrilled to be playing at one of the biggest indoor arenas I've ever played at today, in San Juan!
    Maria Sharapova
    ************************************************************************************************************

    Thanks for keeping me on time all these years ☺️👏🏼
    I look forward to another 4 trips around the Sun with you guys!

    Novac Djokovic
     *******************************************************************************************************************
    Nape Nnauye

    *******************************************************************************************************************

    Dhamira ya kufikia uchumi wa viwanda haitofikiwa kama hatutoimarisha miundo mbinu
    ya Barabara na Upatikanaji wa mazao

    Picha Mwalimu Nyerere
    ******************************************************************************************


    There's good news concerning this guy… 🗣 “Danny Welbeck is one week away from being back in full training with the squad.”

    Danny Welbeck





Nyota huyo wa filamu za Bollywood Shah Rukh Khan ameelezea kusikitishwa na kitendo cha "kukamatwa" na mamlaka za Marekani katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Los Angeles.
Shah Rukh Khan aliwahi kuweka aliwahi kuweka mahabusu kwenye viwanja vya ndege vya Marekani awali.
Haijafahamika wazi ni kwa nini Khan alitiwa nguvuni, na kwa muda gani.
Balozi wa Marekani nchini India ameomba msamaha kwa kukamatwa kwa Khan na amesema kuwa mamlaka zinafanya kila liwezekanalo kuhakikisha tukio kama hilo halitokei tena.
Mnamo mwaka 2012, Khan alikamatwa na kushikiliwa kwenye uwanja wa ndege wa White Plains karibu na jiji la New York kwa dakika 90.
Mwaka 2009, alizuiliwa kwa muda wa saa mbili katika wanja wa ndege wa Newark.
Aliachiliwa baada ya ubalozi wa India kuingilia kati.
Khan, ambae aliwasili Los Angeles Ijumaa, aliandika kwenye ukurasa wake wa Tweeter: '' Ninaelewa kikamilifu jinsi hali ya usalama wa Marekani na dunia ulivyo. Lakini kukamatwa kwenye idara ya uhamiaji ya Marekani kila wakati inaudhi sana''.
Wafanyakazi wengi kusini mwa India leo wamepewa likizo kwa sababu ya filamu ya mwigizaji filamu inayoanza kuonyeshwa kwenye kumbi za sinema leo. 

Filamu hiyo ni ya mwigizaji nyota wa asili ya Tamil, Rajinikanth.

Hatua hiyo imechukuliwa kuzuia watu kutumia visingizio kama vile kwamba wanaugua ili wasifike kazini.

Inahofiwa wengine huenda hata wangezima simu zao au kutofika kazini bila kueleza sababu.

Filamu hiyo kwa jina Kabali inaonyeshwa katika kumbi 12,000 za sinema leo.

Rajinikanth, ni mmoja wa waigizaji wanaolipwa pesa nyingi sana bara Asia na mmoja wa waigizaji mashuhuri zaidi kutoka India.

Hata kabla ya kuzinduliwa, filamu hiyo ya Kabali, ambayo inaangazia uhalifu wa magenge, imejizolea $30m (£20m) kupitia mauzo ya haki zake.

Itatolewa pia kwa lugha za Kitelugu, Kihindi na Kimalay.

Katika miji kama vile Chennai na Bangalore, baadhi ya kampuni zimetangaza Ijumaa kuwa siku ya likizo na hata kuwapa wafanyakazi tiketi za bure wakatazame filamu hiyo.

Kampuni moja inasema imechukua hatua hiyo kuzuia watu kufika kwa wingi wakiomba likizo siku ya leo.

Rajinikanth mwenye umri wa miaka 65, ameigiza katika filamu zaidi ya 170, nyingi katika lugha ya Kitamil.
Nyota wa filamu za Bollywood Amitabh Bachchan amekana kuhusishwa na kampuni zozote za kigeni anazotumia kukwepa kulipa ushuru.
India Express imeripoti kwamba Bw Bachchan aliteuliwa mkurugenzi wa kampuni nne za kigeni mwaka 1993,zilizosajiliwa katika kisiwa cha Uingereza cha Virgin Island na Bahamas.
Yeye na nyota mwenzake wa kike Aishwarya Rai ni miongoni mwa Wahindi 500 walioorodhshwa katika gazeti la Panama,gazeti hilo limesema.
Mshauri wa Bi Rai wa maswala ya uwanahabari amehoji uhalisia wa ripoti hiyo
Gazeti la India Express liliripoti kwamba bw Bachchan alikuwa amekataa kutoa tamko lolote,lakini alitoa taarifa siku ya Jumanne akikana kujihusisha.

Amitabh Bachchan
Nyota wa filamu za Bollywood Amitabh Bachchan na Kangana Ranaut wameshinda mataji makuu katika tuzo za kitaifa za filamu nchini India.
Bachchan alishinda tuzo ya muigizaji bora kwa jukumu lake katika Piku huku Ranaut akiwa muigizaji bora upande wa wanawake kwa filamu ya Tanu Weds Manu Returns.
Tuzo ya filamu bora lilichukuliwa na Bahubali huku Sanjay Leela Bhansali akijishindia mwelekezaji bora wa filamu ya Bajirao Mastani.

Kangana Ranaut

Tuzo hizo hutolewa kila mwaka na serikali ya India.
Hiyo ni tuzo ya nne ya Bachchan.Alijishindia tuzo ya muigizaji bora mwaka 1990,2005 na 2009.
 
Mahakama katika mji mkuu wa India imeamua kwamba ni kosa kwa mke kumuita mumewe “ndovu” na kosa hilo linaweza kuwa msingi wa talaka.

Mahakama Kuu mjini Delhi imedumisha uamuzi wa mahakama ya chini uliotolewa mwaka 2012 ambao uliidhinisha talaka.

Mahakama hiyo ilisema mtu kumuita mumewe ndovu ni “kumtendea ukatili wa kiakili”.

Mfanyabiashara aliyeitwa ndovu ana umri wa miaka 35 na alikuwa na uzani wa kilo 100.

Alisema mkewe alizoea kumuaibisha kwa kuwa mnene na "kutoweza kutimiza haja yake ya kimapenzi”, vyombo vya habari India vimeripoti.

"Hatua ya aliyekata rufaa kumbandika majina na kumrushia matusi mumewe kwa mfano kumuita 'Hathi' [ndovu], 'Mota Hathi' [ndovu mnene], hata kama alikuwa mnene bila shaka ingeathiri hadhi yake na kujiamini kwake,” Jaji Vipin Sanghi alinukuliwa na gazeti la India Today.

Mwanamke huyo alikuwa ameambia mahakama hiyo kwamba madai ya mumewe hayakuwa na msingi lakini mahakama haikukubaliana naye.