Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos


Imebainika kuwa, baadhi ya raia wa Kiafrika wanaopigwa mnada katika magendo ya binadamu nchini Libya wananyofolewa viungo vyao vya mwili na kuuzwa.

Wakili na mwanaharakati mashuhuri Bobby Banson amenukuliwa na tovuti ya habari ya GhanaWeb akisema kuwa, binafsi ameshuhudia kanda ya video inayoonyesha mmoja wa 'watumwa' hao akieleza jinsi viungo vya mwili vya mwenzake vilivyong'olewa na kuuzwa.


Amebainisha kuwa: "Ukweli wa mambo ni kuwa, baadhi ya raia hao wa Afrika hawauzwi kwa ajili ya kwenda kufanya kazi Ulaya, bali kwa ajili ya biashara ya viungo vya binadamu kama maini na mapafu."


Wakili huyo na mtetezi wa haki za binadamu ameongeza kuwa, wahajiri hao waliojikuta kwenye mtego wa magendo ya binadamu wanapewa dawa za kulala na kisha viungo vyao vinachukuliwa."
Wahajiri wa Afrika wanaouzwa kama bidhaa nchini Libya


Hivi karibuni, televisheni ya CNN ilirusha hewani mubashara mnada wa kuuza Waafrika huko nchini Libya ambapo kila mtu alikuwa akiuzwa kwa dola zisizopungua 400 za Kimarekani.
Duru mbali mbali za kimataifa, ukiwemo Umoja wa Afrika na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimekosoa vikali biashara hiyo ya utumwa mambo leo inayofanyika nchini Libya.



Licha ya kukosa ubingwa katika mashindano ya Bahamas yaliyomalizika jana, wachambuzi wa masuala ya mchezo wa Gofu, wamesema huenda Tiger Woods akarejea katika kiwango cha kuridhisha kutokana makali aliyoyaonyesha tangu aanze mazoezi na hatimaye ushiriki wake katika mashindano.


Woods ambaye amecheza kwa mara ya kwanza tangu atangaze kujiondoa mwezi februari mwaka huu, alishika nafasi ya tisa kati ya wachezaji 19 walioshiriki michuano hiyo, na bingwa alikuwa Rickie Fowler wa Marekani.  Na nafasi ya pili ikienda kwa Charley Hoffman (Marekani), ya tatu kwa Tommy Fleetwood (Uingereza), Jordan Spieth (Marekani) akishika nafasi ya nne, na nafasi ya tano ikienda kwa Hideki Matsuyama (Japan).




Manchester City (4-3-3)
Ederson 6; Walker 6, Otamendi 7.5, Mangala 5, Danilo 5 (Jesus 46, 8); Delph 6.5, De Bruyne 7, D Silva 7; Sterling 6.5, Aguero 5.5 (Fernandinho 85), Sane 6 (B Silva 90)
Subs not used: Bravo, Toure, Gundogan, Kompany
Goals: Otamendi 57; Silva 83
Booked: De Bruyne 59; Jesus 90+5
Manager: Pep Guardiola 6.5

West Ham (5-3-1-1)
Adrian 7.5; Zabaleta 6.5, Rice 7, Ogbonna 7, Cresswell 6.5, Masuaku 7; Fernandes 7, Obiang 6, Kouyate 6 (Sakho 43, 6); Lanzini 6 (Arnautovic 69, 6); Antonio 7 (Ayew 88)
Subs not used: Trott, Martinez, Quina, Johnson
Goals: Ogbonna 44
Booked: Rice 17; Adrian 90+4
Manager: David Moyes 6.5

MOM: Jesus
Referee: M Dean 7

















Benevento (4-3-3): Brignoli, Letizia, Djimsiti, Costa, Di Chiara (Gyamfi 80), Cataldi, Chibsah, Memushaj (Coda 80), D'Alessandro, Parigini (Brignola 67), Puscas;
Subs not used: Belec, Del Pinto, Viola, Venuti, Kanoute, Lombardi, Antei, Gravillon
Booked: Cataldi, Di Chiara, D'Alessandro
Goalscorers: Puscas (50), Brignoli (90+4)

Manager: Roberto De Zerbi



 



 AC Milan (3-4-3): Donnarumma, Musacchio, Bonucci, Romagnoli, Borini (Abate 60), Kessie, Montolivo (Biglia 73), Rodriguez, Suso (Zapata 87), Bonaventura, Kalinic;
Subs not used: Calabria, Silva, Gomez, Paletta, Storari, Antonelli, Cutrone, Locatelli, A Donnarumma

Goalscorers: Bonaventura (38), Kalinic (57)
Booked: Romagnoli, Rodriguez, Kessie, Abate
Sent off: Romagnoli (75)
Manager: Gennaro Gattuso
Referee: Maurizio Marian 













Wafungwa kumi na tisa, wengi wao wanaokabiliwa na mashtaka ya ubakaji, wametoroka jela mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo usiku wa kuamkia leo, na kusababisha hofu ya kulipiza kisasi kwa waathirika wa vitendo vyao, vyanzo vya serikali za ndani vimesema.



Kwa mujibu wa msimamizi wa gereza Gerard Nkwana, katika jimbo la Kivu Kusini Wafungwa hao 19 walitoroka katika gereza la Kalehe lenye wafungwa 20.


Pascal Nabulera, mkuu wa shirika la kijamii jamii la Kalehe, ametangazia RFI kuwa Watu wanaofika mahakamani kufungua kesi na mashahidi sasa wanawasiwasi wa kulipiziwa kisasi na wafungwa hao waliotoroka.



Nchi ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo yenye umasikini na inayopambana na mgawanyiko wa kisiasa na kikabila pamoja na machafuko mashariki mwa nchi inakabiliwa na matatizo makubwa katika mfumo wake wa mahakama.



Mnamo Mei, wafungwa 4,000 walitoroka katika gereza la Makala huko Kinshasa, mji mkuu, wakati 900 wakitoroka kutoka jela huko Beni katika jimbo la Kivu Kaskazini mwezi Juni.

Latest Post


Imebainika kuwa, baadhi ya raia wa Kiafrika wanaopigwa mnada katika magendo ya binadamu nchini Libya wananyofolewa viungo vyao vya mwili na kuuzwa.

Wakili na mwanaharakati mashuhuri Bobby Banson amenukuliwa na tovuti ya habari ya GhanaWeb akisema kuwa, binafsi ameshuhudia kanda ya video inayoonyesha mmoja wa 'watumwa' hao akieleza jinsi viungo vya mwili vya mwenzake vilivyong'olewa na kuuzwa.


Amebainisha kuwa: "Ukweli wa mambo ni kuwa, baadhi ya raia hao wa Afrika hawauzwi kwa ajili ya kwenda kufanya kazi Ulaya, bali kwa ajili ya biashara ya viungo vya binadamu kama maini na mapafu."


Wakili huyo na mtetezi wa haki za binadamu ameongeza kuwa, wahajiri hao waliojikuta kwenye mtego wa magendo ya binadamu wanapewa dawa za kulala na kisha viungo vyao vinachukuliwa."
Wahajiri wa Afrika wanaouzwa kama bidhaa nchini Libya


Hivi karibuni, televisheni ya CNN ilirusha hewani mubashara mnada wa kuuza Waafrika huko nchini Libya ambapo kila mtu alikuwa akiuzwa kwa dola zisizopungua 400 za Kimarekani.
Duru mbali mbali za kimataifa, ukiwemo Umoja wa Afrika na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimekosoa vikali biashara hiyo ya utumwa mambo leo inayofanyika nchini Libya.



Licha ya kukosa ubingwa katika mashindano ya Bahamas yaliyomalizika jana, wachambuzi wa masuala ya mchezo wa Gofu, wamesema huenda Tiger Woods akarejea katika kiwango cha kuridhisha kutokana makali aliyoyaonyesha tangu aanze mazoezi na hatimaye ushiriki wake katika mashindano.


Woods ambaye amecheza kwa mara ya kwanza tangu atangaze kujiondoa mwezi februari mwaka huu, alishika nafasi ya tisa kati ya wachezaji 19 walioshiriki michuano hiyo, na bingwa alikuwa Rickie Fowler wa Marekani.  Na nafasi ya pili ikienda kwa Charley Hoffman (Marekani), ya tatu kwa Tommy Fleetwood (Uingereza), Jordan Spieth (Marekani) akishika nafasi ya nne, na nafasi ya tano ikienda kwa Hideki Matsuyama (Japan).




Manchester City (4-3-3)
Ederson 6; Walker 6, Otamendi 7.5, Mangala 5, Danilo 5 (Jesus 46, 8); Delph 6.5, De Bruyne 7, D Silva 7; Sterling 6.5, Aguero 5.5 (Fernandinho 85), Sane 6 (B Silva 90)
Subs not used: Bravo, Toure, Gundogan, Kompany
Goals: Otamendi 57; Silva 83
Booked: De Bruyne 59; Jesus 90+5
Manager: Pep Guardiola 6.5

West Ham (5-3-1-1)
Adrian 7.5; Zabaleta 6.5, Rice 7, Ogbonna 7, Cresswell 6.5, Masuaku 7; Fernandes 7, Obiang 6, Kouyate 6 (Sakho 43, 6); Lanzini 6 (Arnautovic 69, 6); Antonio 7 (Ayew 88)
Subs not used: Trott, Martinez, Quina, Johnson
Goals: Ogbonna 44
Booked: Rice 17; Adrian 90+4
Manager: David Moyes 6.5

MOM: Jesus
Referee: M Dean 7

















Benevento (4-3-3): Brignoli, Letizia, Djimsiti, Costa, Di Chiara (Gyamfi 80), Cataldi, Chibsah, Memushaj (Coda 80), D'Alessandro, Parigini (Brignola 67), Puscas;
Subs not used: Belec, Del Pinto, Viola, Venuti, Kanoute, Lombardi, Antei, Gravillon
Booked: Cataldi, Di Chiara, D'Alessandro
Goalscorers: Puscas (50), Brignoli (90+4)

Manager: Roberto De Zerbi



 



 AC Milan (3-4-3): Donnarumma, Musacchio, Bonucci, Romagnoli, Borini (Abate 60), Kessie, Montolivo (Biglia 73), Rodriguez, Suso (Zapata 87), Bonaventura, Kalinic;
Subs not used: Calabria, Silva, Gomez, Paletta, Storari, Antonelli, Cutrone, Locatelli, A Donnarumma

Goalscorers: Bonaventura (38), Kalinic (57)
Booked: Romagnoli, Rodriguez, Kessie, Abate
Sent off: Romagnoli (75)
Manager: Gennaro Gattuso
Referee: Maurizio Marian 













Wafungwa kumi na tisa, wengi wao wanaokabiliwa na mashtaka ya ubakaji, wametoroka jela mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo usiku wa kuamkia leo, na kusababisha hofu ya kulipiza kisasi kwa waathirika wa vitendo vyao, vyanzo vya serikali za ndani vimesema.



Kwa mujibu wa msimamizi wa gereza Gerard Nkwana, katika jimbo la Kivu Kusini Wafungwa hao 19 walitoroka katika gereza la Kalehe lenye wafungwa 20.


Pascal Nabulera, mkuu wa shirika la kijamii jamii la Kalehe, ametangazia RFI kuwa Watu wanaofika mahakamani kufungua kesi na mashahidi sasa wanawasiwasi wa kulipiziwa kisasi na wafungwa hao waliotoroka.



Nchi ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo yenye umasikini na inayopambana na mgawanyiko wa kisiasa na kikabila pamoja na machafuko mashariki mwa nchi inakabiliwa na matatizo makubwa katika mfumo wake wa mahakama.



Mnamo Mei, wafungwa 4,000 walitoroka katika gereza la Makala huko Kinshasa, mji mkuu, wakati 900 wakitoroka kutoka jela huko Beni katika jimbo la Kivu Kaskazini mwezi Juni.