Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » HILI NDIO JIBU LA MANNY PACQUIAO JUU Y AATAKAYEPAMBANA NAYE MWAKANI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Bondia wa kimataifa wa Filipino Manny Pacquiao ambaye mwezi May mwaka 2015 alipigana na bondia mwenye rekodi ya kutopigwa Floyd Mayweather, ameanza kurejea katika hali yake ya kawaida baada ya kufanyiwa upasuaji katika bega la kulia. Manny Pacquiao mara ya mwisho kuingia ulingoni ilikuwa dhidi ya Floyd Mayweather na kushindwa kwa point.

Manny Pacquiao baada ya kushindwa pambano hilo alitoa sababu kuwa moja kati ya vitu vilivyochangia kupoteza pambano hilo ni bega lake ambalo lilikuwa na mauvu, hivyo alipaswa kufanyiwa upasuaji ila ilimlazimu kuingia ulingoni baada ya maandalizi ya pambano hilo, yalikuwa yamekamilika kwa kiwango kikubwa hivyo ilikuwa ngumu kuhairisha.

Stori zilizoandikwa September 29 ni kuwa bondia huyo atarudi ulingoni mwakani dhidi ya Amir Khan, taarifa hizi zinakuja baada ya Manny Pacquiao kufanyiwa kipimo cha MRI Scan na kugundulika kuwa anaendelea vizuri. Promota wa bondia huyo Bob Arum alithibitisha wiki iliopita kuwa yupo katika mazungumzo na timu ya Amir Khan na mambo yanaenda vizuri. 


About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / HILI NDIO JIBU LA MANNY PACQUIAO JUU Y AATAKAYEPAMBANA NAYE MWAKANI

Bondia wa kimataifa wa Filipino Manny Pacquiao ambaye mwezi May mwaka 2015 alipigana na bondia mwenye rekodi ya kutopigwa Floyd Mayweather, ameanza kurejea katika hali yake ya kawaida baada ya kufanyiwa upasuaji katika bega la kulia. Manny Pacquiao mara ya mwisho kuingia ulingoni ilikuwa dhidi ya Floyd Mayweather na kushindwa kwa point.

Manny Pacquiao baada ya kushindwa pambano hilo alitoa sababu kuwa moja kati ya vitu vilivyochangia kupoteza pambano hilo ni bega lake ambalo lilikuwa na mauvu, hivyo alipaswa kufanyiwa upasuaji ila ilimlazimu kuingia ulingoni baada ya maandalizi ya pambano hilo, yalikuwa yamekamilika kwa kiwango kikubwa hivyo ilikuwa ngumu kuhairisha.

Stori zilizoandikwa September 29 ni kuwa bondia huyo atarudi ulingoni mwakani dhidi ya Amir Khan, taarifa hizi zinakuja baada ya Manny Pacquiao kufanyiwa kipimo cha MRI Scan na kugundulika kuwa anaendelea vizuri. Promota wa bondia huyo Bob Arum alithibitisha wiki iliopita kuwa yupo katika mazungumzo na timu ya Amir Khan na mambo yanaenda vizuri. 



«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :