Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » PAPA AKUMBUSHA MAKASISI WALIODHALILISHA.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Papa Francis amehutubia maaaskofu huko nchini Marekani katika siku ya pili ya ziara yake na kuwasifu kwa jinsi walivyokabiliana na kashfa ya udhalilishaji wa kimapenzi inayowakabili makasisi takriban miaka kumi iliyopita.
Hata hivyo mwandishi wa BBC anaseama kitendo cha papa huyo kuacha kuwatembelea waathirika waliofanyiwa vitendo hivyo huenda kikawauzunisha baadhi ya wakatoliki.
Papa alifanya ibada ya kipapa kwa mara ya kwanza katika ardhi ya Marekani.
Mapema papa alitoa wito kufanyika hatua kukabilina na tatizo la mabadiliko ya tabia ya nchi.
Akiwa katika ikulu ya white house papa alisema suala la mapambano dhidi ya mabadililko ya tabia ya nchi lisiachiwe vizazi vijavyo.
Maelefu ya wamarekani walijipanga njiani kumlaki wakati alipokuwa akitoka ndani ya ikulu ya White House ambapo wangine walitumia simu zao za mkononi kupata picha za kumbukumbu.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / PAPA AKUMBUSHA MAKASISI WALIODHALILISHA.

Papa Francis amehutubia maaaskofu huko nchini Marekani katika siku ya pili ya ziara yake na kuwasifu kwa jinsi walivyokabiliana na kashfa ya udhalilishaji wa kimapenzi inayowakabili makasisi takriban miaka kumi iliyopita.
Hata hivyo mwandishi wa BBC anaseama kitendo cha papa huyo kuacha kuwatembelea waathirika waliofanyiwa vitendo hivyo huenda kikawauzunisha baadhi ya wakatoliki.
Papa alifanya ibada ya kipapa kwa mara ya kwanza katika ardhi ya Marekani.
Mapema papa alitoa wito kufanyika hatua kukabilina na tatizo la mabadiliko ya tabia ya nchi.
Akiwa katika ikulu ya white house papa alisema suala la mapambano dhidi ya mabadililko ya tabia ya nchi lisiachiwe vizazi vijavyo.
Maelefu ya wamarekani walijipanga njiani kumlaki wakati alipokuwa akitoka ndani ya ikulu ya White House ambapo wangine walitumia simu zao za mkononi kupata picha za kumbukumbu.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :