Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » KIATU CHA DHAHABU CHA NNE NI REKODI KWA CHRISTIANO RONALDO
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na klabu ya Real Madrid ya Hispania Crsistiano Ronaldo ameingia tena katika headlines baada ya kutwaa tuzo nyingine ya ufungaji bora. Cristiano Ronaldo ambaye September 30 aliweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa klabu ya Real Madrid kwa kufunga jumla ya goli 324 na kuvunja rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Raul Gonzalez.




 October 13 Cristiano Ronaldo alipokea kiatu cha dhahabu baada ya kuibuka mfungaji bora wa Ulaya kwa kufunga magoli mengi katika mechi zinazohushisha mechi za ndani ya nchi husika kwa kufunga jumla ya goli 48 katika mechi 35. Ronaldo amechukua kiatu cha dhahabu cha tatu akiwa na Real Madrid baada ya mara ya kwanza kutwaa tuzo hiyo akiwa Man United msimu wa 2007/2008.



Kwa ujumla Ronaldo anaweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kutwaa tuzo hiyo mara nne, huenda ukawa unajiuliaza namna au mfumo unaotumika kutoa tuzo hiyo, tuzo hii uhusisha wachezaji wanaotokea katika Ligi kubwa kama Ligi Kuu Uingereza au Hispania hata kama watafunga magoli machache kuliko wachezaji wanaotoka Ligi dhaifu wanaweza kutwaa tuzo hiyo.


 Waliokuwa wanawania kwa msimu wa 2014/2015
 Waliowahi kutwaa tuzo hiyo

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / KIATU CHA DHAHABU CHA NNE NI REKODI KWA CHRISTIANO RONALDO

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na klabu ya Real Madrid ya Hispania Crsistiano Ronaldo ameingia tena katika headlines baada ya kutwaa tuzo nyingine ya ufungaji bora. Cristiano Ronaldo ambaye September 30 aliweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa klabu ya Real Madrid kwa kufunga jumla ya goli 324 na kuvunja rekodi iliyokuwa inashikiliwa na Raul Gonzalez.




 October 13 Cristiano Ronaldo alipokea kiatu cha dhahabu baada ya kuibuka mfungaji bora wa Ulaya kwa kufunga magoli mengi katika mechi zinazohushisha mechi za ndani ya nchi husika kwa kufunga jumla ya goli 48 katika mechi 35. Ronaldo amechukua kiatu cha dhahabu cha tatu akiwa na Real Madrid baada ya mara ya kwanza kutwaa tuzo hiyo akiwa Man United msimu wa 2007/2008.



Kwa ujumla Ronaldo anaweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kutwaa tuzo hiyo mara nne, huenda ukawa unajiuliaza namna au mfumo unaotumika kutoa tuzo hiyo, tuzo hii uhusisha wachezaji wanaotokea katika Ligi kubwa kama Ligi Kuu Uingereza au Hispania hata kama watafunga magoli machache kuliko wachezaji wanaotoka Ligi dhaifu wanaweza kutwaa tuzo hiyo.


 Waliokuwa wanawania kwa msimu wa 2014/2015
 Waliowahi kutwaa tuzo hiyo

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :