Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » NCHI TAKRIBANI 40 ZINAFADHILI UGAIDI,UNADHANI G20 INAWEZA KULITATUA HILI...HATARI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Rais wa Urusi, Vladmir Putin ametaka kuzuiwa kwa mianya ya ufadhili kwa IS
Viongozi wa mkutano wa G20 nchini Uturuki wamesema wanamipango ya kuweka nguvu zaidi kupambana na vitendo vya kigaidi hasa kwa kuvunja mianya ya ufadhili wa kifedha kwa makundi ya kigaidi, Rais wa Urusi Vladmir Putin amesema njia hiyo inapewa kipaumbele.

''Suala la mapambano dhidi ya ugaidi ni moja kati ya maswala muhimu,hasa baada ya matukio mabaya kama utekaji nyara na vifo vilivyotokea nchini Ufaransa, kama tunavyoelewa na imekuwa ikizungumzwa kabla, kuwa njia za ufadhili wa fedha kwa ajili ya vitendo vya kigaidi vikomeshwe,nimetoa mifano kwa taarifa tulizonazo kuhusu watu kutoka nchi mbalimbali wanaotoa ufadhili kwa wanamgambo wa IS, tumebaini kuwa ufadhili huu unatoka nchi 40 zikiwemo baadhi za G20''. Alieleza Putin.

Nae Rais wa Ufaransa Francois Hollande amesema kuwa mashambulizi ya Paris yalikuwa yakipangwa nchini Syria lakini yaliandaliwa nchini Ubelgiji.Wapelelezi wanashuku kuwa mtu aliyekuwa anasuka mipango hiyo ni Abdelhamid Abaaoud, mwenye miaka 27, mbelgiji mwenye asili ya morocco, anatoka katika wilaya ya Molenbeek.

Polisi nchini Ubelgiji wamewashutumu watuhumiwa wawili na wanamtafuta Salah Abdeslam, raia wa ufaransa aishie mjini Brussels ambaye nduguye anaaminika kuwa alijitoa muhanga mjini Paris.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / NCHI TAKRIBANI 40 ZINAFADHILI UGAIDI,UNADHANI G20 INAWEZA KULITATUA HILI...HATARI

Rais wa Urusi, Vladmir Putin ametaka kuzuiwa kwa mianya ya ufadhili kwa IS
Viongozi wa mkutano wa G20 nchini Uturuki wamesema wanamipango ya kuweka nguvu zaidi kupambana na vitendo vya kigaidi hasa kwa kuvunja mianya ya ufadhili wa kifedha kwa makundi ya kigaidi, Rais wa Urusi Vladmir Putin amesema njia hiyo inapewa kipaumbele.

''Suala la mapambano dhidi ya ugaidi ni moja kati ya maswala muhimu,hasa baada ya matukio mabaya kama utekaji nyara na vifo vilivyotokea nchini Ufaransa, kama tunavyoelewa na imekuwa ikizungumzwa kabla, kuwa njia za ufadhili wa fedha kwa ajili ya vitendo vya kigaidi vikomeshwe,nimetoa mifano kwa taarifa tulizonazo kuhusu watu kutoka nchi mbalimbali wanaotoa ufadhili kwa wanamgambo wa IS, tumebaini kuwa ufadhili huu unatoka nchi 40 zikiwemo baadhi za G20''. Alieleza Putin.

Nae Rais wa Ufaransa Francois Hollande amesema kuwa mashambulizi ya Paris yalikuwa yakipangwa nchini Syria lakini yaliandaliwa nchini Ubelgiji.Wapelelezi wanashuku kuwa mtu aliyekuwa anasuka mipango hiyo ni Abdelhamid Abaaoud, mwenye miaka 27, mbelgiji mwenye asili ya morocco, anatoka katika wilaya ya Molenbeek.

Polisi nchini Ubelgiji wamewashutumu watuhumiwa wawili na wanamtafuta Salah Abdeslam, raia wa ufaransa aishie mjini Brussels ambaye nduguye anaaminika kuwa alijitoa muhanga mjini Paris.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :