Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » NELLY NI STAR NA MPAKA LEO HAJAOA, UNAJUA SABABU? PITIA HAPA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



Msanii wa muziki wa HipHop Marekani, Nelly ameingia kwenye headlines za burudani baada ya interview aliyoifanya siku chache zilizopita kwenye moja ya radio shows kubwa New York, Marekani kuweka stori nyingi mitandaoni… je unafahamu kuwa Nelly ana watoto lakini hajaoa mpaka leo? sababu inayomsukuma yeye kuishi maisha hayo ni ipi?

Akiwa kwenye kipindi cha radio na Angie Martinez wa Radio Power 105.5 ya Marekani, Nelly alishare na mtangazaji huyo mambo mengi yanayohusu muziki wake pamoja na familia yake… na alipoulizwa kwa nini mpaka sasa hajaoa msanii huyo alikuwa na haya ya kusema…


                                                                           Nelly.

>>>Sina haraka ya kuoa japo sipingi watu kufunga ndoa… ila issue kubwa inayonisumbua mimi ni kwamba inaonekana watu wengi huharakisha kufunga ndoa lakini baada ya muda mfupi utasikia wanapeana talaka na kugawana mali…  misingi ya ndoa haijawekwa ili watu waje kufanya hivyo bali imewekwa kwa misingi mikubwa zaidi, mpaka kifo kitakapowatenganisha…


About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / NELLY NI STAR NA MPAKA LEO HAJAOA, UNAJUA SABABU? PITIA HAPA



Msanii wa muziki wa HipHop Marekani, Nelly ameingia kwenye headlines za burudani baada ya interview aliyoifanya siku chache zilizopita kwenye moja ya radio shows kubwa New York, Marekani kuweka stori nyingi mitandaoni… je unafahamu kuwa Nelly ana watoto lakini hajaoa mpaka leo? sababu inayomsukuma yeye kuishi maisha hayo ni ipi?

Akiwa kwenye kipindi cha radio na Angie Martinez wa Radio Power 105.5 ya Marekani, Nelly alishare na mtangazaji huyo mambo mengi yanayohusu muziki wake pamoja na familia yake… na alipoulizwa kwa nini mpaka sasa hajaoa msanii huyo alikuwa na haya ya kusema…


                                                                           Nelly.

>>>Sina haraka ya kuoa japo sipingi watu kufunga ndoa… ila issue kubwa inayonisumbua mimi ni kwamba inaonekana watu wengi huharakisha kufunga ndoa lakini baada ya muda mfupi utasikia wanapeana talaka na kugawana mali…  misingi ya ndoa haijawekwa ili watu waje kufanya hivyo bali imewekwa kwa misingi mikubwa zaidi, mpaka kifo kitakapowatenganisha…



«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :