Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » 16 BORA UEFA ILIVYOIBAGUA MAN UNITED YA ENGLAND
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



MAN U OUT!!!!

Manchester United wameondolewa kutoka kwenye Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kushindwa na klabu ya Wolfsburg kutoka Ujerumani Jumanne usiku.

Vijana hao wa Old Trafford waliondoka Ujerumani na kichapo cha 3-2.

Red Devils walikuwa wameanza vyema Anthony Martial alipowafungia baada ya kupata pasi kutoka kwa Juan Mata.

Lakini wenyeji wao Wolfsburg walikomboa dakika tatu baadaye kupitia Naldo kisha wakajiweka kifua mbele kupitia Vieirinha.

United walidhani wangesonga mbele baada ya Josuha Guilavogui kujifunga lakini mwishowe wakajipata wametumwa Europa League baada ya Naldo kufunga kwa kichwa dakika za mwisho.

Vijana hao wa Louis van Gaal walijuwa wangefuzu kwa hatua ya 16 bora iwapo wangelaza Wolfsburg, au wafikie matokeo ya PSV Eindhoven waliokuwa wakicheza dhidi ya CSKA Moscow.

Matumaini yalikuwepo baada ya CSKA kuongoza 1-0 ugenini Eindhoven lakini baadaye PSV waliibuka na ushindi wa 2-1.

Matokeo kamili ya mechi zilizochezwa Jumanne usiku:

 
Real Madrid 8 - 0 Malmoe FF
 

Benfica 1 - 2 Atletico Madrid
 
 Galatasaray 1 - 1 FC Astana 
 

Manchester City 4 - 2 Borussia Moenchengladbach
 
Sevilla 1 - 0 Juventus= 



Timu zilizofuzu moja kwa moja ni 

Real Madrid, Wolfsburg, Atletico Madrid, Manchester City, Barcelona, Bayern Munich, Zenit

zinazosubiri matokeo ya leo

 Paris Saint-Germain, PSV Eindhoven, Benfica, Juventus


ambazo bado zinayo nafasi ya kufuzu

Roma, Bayer Leverkusen, BATE Borisov; Olympiacos, Arsenal; Chelsea, Porto, Dynamo Kyiv; Gent, Valencia 


MECHI ZA LEO USIKU

Champions League - Group E 


Bayer Leverkusen ? - ? Barcelona

Roma ? - ? BATE Borisov

Champions League - Group F

Dinamo Zagreb ? - ? Bayern Munich

Olympiacos ? - ? Arsenal

Champions League - Group G

Chelsea ? - ? FC Porto

Dynamo Kyiv ? - ? Maccabi Tel Aviv
Champions League - Group H

Gent ? - ? Zenit St. Petersburg

Valencia ? - ? Lyon

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / 16 BORA UEFA ILIVYOIBAGUA MAN UNITED YA ENGLAND



MAN U OUT!!!!

Manchester United wameondolewa kutoka kwenye Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kushindwa na klabu ya Wolfsburg kutoka Ujerumani Jumanne usiku.

Vijana hao wa Old Trafford waliondoka Ujerumani na kichapo cha 3-2.

Red Devils walikuwa wameanza vyema Anthony Martial alipowafungia baada ya kupata pasi kutoka kwa Juan Mata.

Lakini wenyeji wao Wolfsburg walikomboa dakika tatu baadaye kupitia Naldo kisha wakajiweka kifua mbele kupitia Vieirinha.

United walidhani wangesonga mbele baada ya Josuha Guilavogui kujifunga lakini mwishowe wakajipata wametumwa Europa League baada ya Naldo kufunga kwa kichwa dakika za mwisho.

Vijana hao wa Louis van Gaal walijuwa wangefuzu kwa hatua ya 16 bora iwapo wangelaza Wolfsburg, au wafikie matokeo ya PSV Eindhoven waliokuwa wakicheza dhidi ya CSKA Moscow.

Matumaini yalikuwepo baada ya CSKA kuongoza 1-0 ugenini Eindhoven lakini baadaye PSV waliibuka na ushindi wa 2-1.

Matokeo kamili ya mechi zilizochezwa Jumanne usiku:

 
Real Madrid 8 - 0 Malmoe FF
 

Benfica 1 - 2 Atletico Madrid
 
 Galatasaray 1 - 1 FC Astana 
 

Manchester City 4 - 2 Borussia Moenchengladbach
 
Sevilla 1 - 0 Juventus= 



Timu zilizofuzu moja kwa moja ni 

Real Madrid, Wolfsburg, Atletico Madrid, Manchester City, Barcelona, Bayern Munich, Zenit

zinazosubiri matokeo ya leo

 Paris Saint-Germain, PSV Eindhoven, Benfica, Juventus


ambazo bado zinayo nafasi ya kufuzu

Roma, Bayer Leverkusen, BATE Borisov; Olympiacos, Arsenal; Chelsea, Porto, Dynamo Kyiv; Gent, Valencia 


MECHI ZA LEO USIKU

Champions League - Group E 


Bayer Leverkusen ? - ? Barcelona

Roma ? - ? BATE Borisov

Champions League - Group F

Dinamo Zagreb ? - ? Bayern Munich

Olympiacos ? - ? Arsenal

Champions League - Group G

Chelsea ? - ? FC Porto

Dynamo Kyiv ? - ? Maccabi Tel Aviv
Champions League - Group H

Gent ? - ? Zenit St. Petersburg

Valencia ? - ? Lyon

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :