Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » HII NDIO RATIBA YA KESHO JUMAMOSI, JUMAPILI NA JUMATATU YA EPL KAMA HUNA ICHUNGULIE HAPA PIA HATI HATI YA CARZOLA KUWEMO KESHO
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

source bbcswahili.com
Arsenal huenda ikamkosa kiungo wake wa kati Santi Cazorla hadi Machi mwaka ujao, meneja wao Arsene Wenger amefichua.

Mchezaji huyo wa miaka 30, anayechezea timu ya taifa ya Uhispania, aliumia goti wakati was are ya 1-1 ugenini Norwich Jumapili.

Klabu hiyo tayari inamkosa kiungo mwingine wa kati Francis Coquelin ambaye atakaa nje miezi mitatu baada ya kuumia kano za goti.

Hata hivyo, difenda Laurent Koscielny na mshambuliaji Theo Walcott wanaweza wakarejea kurudi dhidi ya Sunderland Jumapili.

Alexis Sanchez anauguza jeraha la misuli ya paja baada ya kuumia dhidi ya Norwich, huku Wenger akilazimika kutetea uamuzi wake wa kumchezesha mechi hiyo ya wikendi iliyopita.

“Mimi si mtaalamu, lakini mkitaka kunilaumu, ni sawa.”

Ratiba kamili imekaa hivi.
  •  Stoke v Man City 12:45
  • Arsenal v Sunderland 15:00
  • Man Utd v West Ham 15:00
  • Southampton v Aston Villa 15:00
  • Swansea v Leicester 15:00
  • Watford v Norwich 15:00
  • West Brom v Tottenham 15:00
  • Chelsea v Bournemouth 17:30
Jumapili 6 Desemba 2015
  • Newcastle v Liverpool 16:00
Jumatatu 7 Dec 2015
  • Everton v Crystal Palace 20:00     

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / HII NDIO RATIBA YA KESHO JUMAMOSI, JUMAPILI NA JUMATATU YA EPL KAMA HUNA ICHUNGULIE HAPA PIA HATI HATI YA CARZOLA KUWEMO KESHO

source bbcswahili.com
Arsenal huenda ikamkosa kiungo wake wa kati Santi Cazorla hadi Machi mwaka ujao, meneja wao Arsene Wenger amefichua.

Mchezaji huyo wa miaka 30, anayechezea timu ya taifa ya Uhispania, aliumia goti wakati was are ya 1-1 ugenini Norwich Jumapili.

Klabu hiyo tayari inamkosa kiungo mwingine wa kati Francis Coquelin ambaye atakaa nje miezi mitatu baada ya kuumia kano za goti.

Hata hivyo, difenda Laurent Koscielny na mshambuliaji Theo Walcott wanaweza wakarejea kurudi dhidi ya Sunderland Jumapili.

Alexis Sanchez anauguza jeraha la misuli ya paja baada ya kuumia dhidi ya Norwich, huku Wenger akilazimika kutetea uamuzi wake wa kumchezesha mechi hiyo ya wikendi iliyopita.

“Mimi si mtaalamu, lakini mkitaka kunilaumu, ni sawa.”

Ratiba kamili imekaa hivi.
  •  Stoke v Man City 12:45
  • Arsenal v Sunderland 15:00
  • Man Utd v West Ham 15:00
  • Southampton v Aston Villa 15:00
  • Swansea v Leicester 15:00
  • Watford v Norwich 15:00
  • West Brom v Tottenham 15:00
  • Chelsea v Bournemouth 17:30
Jumapili 6 Desemba 2015
  • Newcastle v Liverpool 16:00
Jumatatu 7 Dec 2015
  • Everton v Crystal Palace 20:00     

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :