Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MAN UNITED KUMKOSA ROONEY MECHI YA WESTHAM KESHO
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney hatacheza mechi ya nyumbani dhidi ya West Ham Jumamosi na pia mechi muhimu Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Wolfbsurg kutokana na jeraha.

Rooney anauguza jeraha la kifundo cha mguu.

Fowadi huyo mwenye umri wa miaka 30 hakuweza kumaliza mechi waliyotoka sare 1-1 ugenini Leicester City wikendi iliyopita na atahitajika kusubiri muda zaidi kuchezea klabu hiyo mechi yake ya 500.

Meneja Louis van Gaal amesema tatizo hilo ni mbaya zaidi ya ilibyodhaniwa.
United wanahitajika kushinda mechi ya ugenini dhidi ya Wolfsburg Jumanne kujihakikishia nafasi hatua ya muondoano.

Difenda wa United Marcos Rojo naye ameumia kwenye bega.

Phil Jones na Ander Herrera kwa upande mwingine hawataweza kuchezea klabu hiyo dhidi ya West Ham, ingawa Jesse Lingard atarejea.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MAN UNITED KUMKOSA ROONEY MECHI YA WESTHAM KESHO

Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney hatacheza mechi ya nyumbani dhidi ya West Ham Jumamosi na pia mechi muhimu Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya dhidi ya Wolfbsurg kutokana na jeraha.

Rooney anauguza jeraha la kifundo cha mguu.

Fowadi huyo mwenye umri wa miaka 30 hakuweza kumaliza mechi waliyotoka sare 1-1 ugenini Leicester City wikendi iliyopita na atahitajika kusubiri muda zaidi kuchezea klabu hiyo mechi yake ya 500.

Meneja Louis van Gaal amesema tatizo hilo ni mbaya zaidi ya ilibyodhaniwa.
United wanahitajika kushinda mechi ya ugenini dhidi ya Wolfsburg Jumanne kujihakikishia nafasi hatua ya muondoano.

Difenda wa United Marcos Rojo naye ameumia kwenye bega.

Phil Jones na Ander Herrera kwa upande mwingine hawataweza kuchezea klabu hiyo dhidi ya West Ham, ingawa Jesse Lingard atarejea.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :