Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » NIMEKUWEKEA HIZI HAPA ZA KIMATAIFA, KUBWA KENYA KUZIDI KUANDAMWA NA MAGAIDI,NDEGE NAZO NI AJALI MTINDO MMOJA..UFARANSA YADAI LILIKUWA BANDIA........MENGINE MENGI FUNGUA HAPA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege la Air France amefutilia mbali tahadhari ya bomu iliyosababisha ndege ya kutua Kenya kuwa ni ya uongo

Frederic Gagey amewaambia waandishi wa habari mjini Paris Ufaransa kuwa kifaa kilichodhaniwa kuwa kilipuzi kilikuwa ni mbao na kisanduku cha karatasi tu wala haikuwa na hatari yeyote kwa usalama wa ndege hiyo.
Mhudumu huyo alimfahamisha rubani kuhusiana na kifaa hicho na shughuli za kutua kwa dharura zikaanza.

Ndege hiyo ilikuwa na abiria 459 na wahudumu 14.

Ndege hiyo ilitua saa sita usiku wa kuamkia leo Jumapili, huku wataalamu wa kutegua mabomu kutoka jeshi la wanamaji la Kenya wakiingia ndani ya ndege hiyo kukagua kifurushi kilicholeta taharuki.

Sasa kitengo cha ujasusi cha Ufaransa kimeanzisha uchunguzi wa kina kubaini kilichosababisha tishio hilo.

bbcswahili
&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&& 


BBCSWAHILI


INDIA

 Mfungwa mchanga zaidi katika genge la wabakaji waliopatikana na hatia ya kubaka na kuua mwanamke mmoja mwaka wa 2012 ameachiwa huru.
 
Wakili wake amaeithibitishia shirika la BBC kuwa kijana huyo ambaye alihukumiwa akiwa chini ya umri wa miaka 18 alifungwa kwa miaka 3 ambayo inaruhusiwa kisheria.
Wakili wake amaeithibitishia shirika la BBC kuwa kijana huyo ambaye alihukumiwa akiwa chini ya umri wa miaka 18 alifungwa kwa miaka 3 ambayo inaruhusiwa kisheria.
Japo hivi sasa ametimiza miaka 18 ameruhusiwa kuachiwa huru kisheria na kupewa majina mapya na hata makosa yaliyomkabili yamefutwa.
Kijana huyo ambaye hawezi tajwa ameondoka gerezani fauka ya pingamizi kutoka kwa mashirika ya wanaharakati wa maswala ya wanawake na wazazi wa mhasiriwa wa ubakaji huo.
Mamake msichana aliyebakwa hadi kufariki alikamatwa katika maandamano mjini Delhi
Kwa sasa amekabidhiwa shirika linalowashughulikia wafungwa ambao hawajatimiza umri wa utu uzima kutokana na hofu kuhusu usalama wake.
Wanne kati ya watuhumiwa waliotenda makosa hayo naye wamekata rufaa huku mtuhumiwa wa tano akiripotiwa kufariki akiwa gerezani.
Wanne kati ya watuhumiwa waliotenda makosa hayo naye wamekata rufaa
Mwandishi wa BBC Sanjoy Majumder aliyeko Delhi anasema kuwa wanaharakati wengi wamejaribu kuzuia kuachiliwa huru kwa mtuhumiwa huyo japo mahakama inasisistiza kuwa inafwata sheria.
Wazazi wa mhasiriwa ambaye kifo chake kilisababisha ghadhabu kote duniani wanapinga kuachiliwa huru kwa kijana huyo.

BBCSWAHILI
&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&




KENYA
Waumini katika kanisa moja nchini Kenya wanakila sababu ya kumshukuru mola wao baada ya bomu iliyokuwa imetegwa ndani ya kanisa kupatikana wakati wa ibada.

Waumini hao wa kanisa katoliki la Kutus lililoko eneo la katikati ya nchi walitoroka kanisani baada ya muumini mmoja kuona kifaa kilichokuwa kimefichwa chini ya viti alipokuwa akitoa sadaka na kuwatahadharisha wenzake.

''Tulipokuwa tukienda kutoa sadaka niliona kitu kilichokuwa kinafanana kama kisanduku kidogo na nyaya ,nilihofu sana nikamweleza padri'' alisema bwana Richard Kanyuiro.

Afisa mmoja wa polisi wa utawala aliyeitwa kushuhudia alikitambua kifaa hicho kuwa ni bomu na hivyo wakawaarifu waumi waliotorokea usalama wao.

Maafisa wa usalama kutoka Nyeri na Embu waliitwa na kuwaondoa waumi wote karibu na kanisa hilo huku wakiwasubiri maafisa wenye uwezo wa kuharibu mabomu kuwasili kutoka Nairobi.

BBCSWAHILI
&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&



Majengo 22 yameporomoka katika maeneo ya viwandani katika mji wa Shenzhen, Kusini mwa Uchina kufuatia maporomoko ya ardhi.

Takriban watu 900 waliokolewa kabla ya maporomoko hayo kutokea.

Hata hivyo waokoaji wanaendelea kuwatafuta watu ambao wanashukiwa kuwa wamekwama ndani ya vifusi vya majengo hayo yaliyoporomoka

Hadi kufikia sasa hakuna mtu aliyeripotiwa kufarika ijapokuwa watu 22 hawajulikani waliko.

Mbili kati ya majumba hayo yalikuwa nyumba za malazi za wafanyikazi wa ujenzi na yamkini watu wanne wametolewa ndani ya vifusi vya majengo yaliyoanguka.
Wazima moto 1,500 wanaendelea na shughuli ya uokoaji.
Naibu mwenyekiti wa mji huo Li Yikang, amesema wanawake 5 na wanaume 17 hawajulikani waliko.

Wazima moto 1,500 wanaendelea na shughuli ya uokoaji.

Kulingana na vyombo vya habari mchanga ambao umekuwa ukichimbwa kwa muda wa miaka miwili unaaminika kuwa ulilowa na kuporomoka.


About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / NIMEKUWEKEA HIZI HAPA ZA KIMATAIFA, KUBWA KENYA KUZIDI KUANDAMWA NA MAGAIDI,NDEGE NAZO NI AJALI MTINDO MMOJA..UFARANSA YADAI LILIKUWA BANDIA........MENGINE MENGI FUNGUA HAPA

Mkurugenzi mkuu wa shirika la ndege la Air France amefutilia mbali tahadhari ya bomu iliyosababisha ndege ya kutua Kenya kuwa ni ya uongo

Frederic Gagey amewaambia waandishi wa habari mjini Paris Ufaransa kuwa kifaa kilichodhaniwa kuwa kilipuzi kilikuwa ni mbao na kisanduku cha karatasi tu wala haikuwa na hatari yeyote kwa usalama wa ndege hiyo.
Mhudumu huyo alimfahamisha rubani kuhusiana na kifaa hicho na shughuli za kutua kwa dharura zikaanza.

Ndege hiyo ilikuwa na abiria 459 na wahudumu 14.

Ndege hiyo ilitua saa sita usiku wa kuamkia leo Jumapili, huku wataalamu wa kutegua mabomu kutoka jeshi la wanamaji la Kenya wakiingia ndani ya ndege hiyo kukagua kifurushi kilicholeta taharuki.

Sasa kitengo cha ujasusi cha Ufaransa kimeanzisha uchunguzi wa kina kubaini kilichosababisha tishio hilo.

bbcswahili
&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&& 


BBCSWAHILI


INDIA

 Mfungwa mchanga zaidi katika genge la wabakaji waliopatikana na hatia ya kubaka na kuua mwanamke mmoja mwaka wa 2012 ameachiwa huru.
 
Wakili wake amaeithibitishia shirika la BBC kuwa kijana huyo ambaye alihukumiwa akiwa chini ya umri wa miaka 18 alifungwa kwa miaka 3 ambayo inaruhusiwa kisheria.
Wakili wake amaeithibitishia shirika la BBC kuwa kijana huyo ambaye alihukumiwa akiwa chini ya umri wa miaka 18 alifungwa kwa miaka 3 ambayo inaruhusiwa kisheria.
Japo hivi sasa ametimiza miaka 18 ameruhusiwa kuachiwa huru kisheria na kupewa majina mapya na hata makosa yaliyomkabili yamefutwa.
Kijana huyo ambaye hawezi tajwa ameondoka gerezani fauka ya pingamizi kutoka kwa mashirika ya wanaharakati wa maswala ya wanawake na wazazi wa mhasiriwa wa ubakaji huo.
Mamake msichana aliyebakwa hadi kufariki alikamatwa katika maandamano mjini Delhi
Kwa sasa amekabidhiwa shirika linalowashughulikia wafungwa ambao hawajatimiza umri wa utu uzima kutokana na hofu kuhusu usalama wake.
Wanne kati ya watuhumiwa waliotenda makosa hayo naye wamekata rufaa huku mtuhumiwa wa tano akiripotiwa kufariki akiwa gerezani.
Wanne kati ya watuhumiwa waliotenda makosa hayo naye wamekata rufaa
Mwandishi wa BBC Sanjoy Majumder aliyeko Delhi anasema kuwa wanaharakati wengi wamejaribu kuzuia kuachiliwa huru kwa mtuhumiwa huyo japo mahakama inasisistiza kuwa inafwata sheria.
Wazazi wa mhasiriwa ambaye kifo chake kilisababisha ghadhabu kote duniani wanapinga kuachiliwa huru kwa kijana huyo.

BBCSWAHILI
&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&




KENYA
Waumini katika kanisa moja nchini Kenya wanakila sababu ya kumshukuru mola wao baada ya bomu iliyokuwa imetegwa ndani ya kanisa kupatikana wakati wa ibada.

Waumini hao wa kanisa katoliki la Kutus lililoko eneo la katikati ya nchi walitoroka kanisani baada ya muumini mmoja kuona kifaa kilichokuwa kimefichwa chini ya viti alipokuwa akitoa sadaka na kuwatahadharisha wenzake.

''Tulipokuwa tukienda kutoa sadaka niliona kitu kilichokuwa kinafanana kama kisanduku kidogo na nyaya ,nilihofu sana nikamweleza padri'' alisema bwana Richard Kanyuiro.

Afisa mmoja wa polisi wa utawala aliyeitwa kushuhudia alikitambua kifaa hicho kuwa ni bomu na hivyo wakawaarifu waumi waliotorokea usalama wao.

Maafisa wa usalama kutoka Nyeri na Embu waliitwa na kuwaondoa waumi wote karibu na kanisa hilo huku wakiwasubiri maafisa wenye uwezo wa kuharibu mabomu kuwasili kutoka Nairobi.

BBCSWAHILI
&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&



Majengo 22 yameporomoka katika maeneo ya viwandani katika mji wa Shenzhen, Kusini mwa Uchina kufuatia maporomoko ya ardhi.

Takriban watu 900 waliokolewa kabla ya maporomoko hayo kutokea.

Hata hivyo waokoaji wanaendelea kuwatafuta watu ambao wanashukiwa kuwa wamekwama ndani ya vifusi vya majengo hayo yaliyoporomoka

Hadi kufikia sasa hakuna mtu aliyeripotiwa kufarika ijapokuwa watu 22 hawajulikani waliko.

Mbili kati ya majumba hayo yalikuwa nyumba za malazi za wafanyikazi wa ujenzi na yamkini watu wanne wametolewa ndani ya vifusi vya majengo yaliyoanguka.
Wazima moto 1,500 wanaendelea na shughuli ya uokoaji.
Naibu mwenyekiti wa mji huo Li Yikang, amesema wanawake 5 na wanaume 17 hawajulikani waliko.

Wazima moto 1,500 wanaendelea na shughuli ya uokoaji.

Kulingana na vyombo vya habari mchanga ambao umekuwa ukichimbwa kwa muda wa miaka miwili unaaminika kuwa ulilowa na kuporomoka.



«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :