Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » WANAJESHI WA MAREKAN WADAIWA KUONDOKA LIBYA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

 
Kikosi cha makomando wa Marekani kilichoenda nchini Libya siku chache zilizopita  kuimarisha uhusiano na mawasiliano na jeshi la nchi hiyo kimedhalilishwa na kutimuliwa nchini humo. 
 
Afisa wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) ambaye hakutaka jina lake litajwe amethibitisha kuwa, picha zilizosambazwa katika mtandao wa kijamii wa Facebook na jeshi la Libya zikionyesha makomando hao wa Marekani wakiondoka nchini humo, ni za kweli. 

Amesema makomando hao walilazimika kuondoka Libya muda mfupi baada ya kuwasili, baada ya kutakiwa kufanya hivyo na kundi moja la waasi katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. 

Kikosi hicho cha makomando wa Marekani kilienda Libya mnamo Disemba 14, kwa kile kilichotajwa kuwa ‘kuimarisha uhusiano wa kiulinzi na kiusalama na jeshi la nchi hiyo’, lakini wakalazimika kuondoka kufuatia vitisho vya kundi la waasi katika nchi hiyo ya Kiafrika.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / WANAJESHI WA MAREKAN WADAIWA KUONDOKA LIBYA

 
Kikosi cha makomando wa Marekani kilichoenda nchini Libya siku chache zilizopita  kuimarisha uhusiano na mawasiliano na jeshi la nchi hiyo kimedhalilishwa na kutimuliwa nchini humo. 
 
Afisa wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) ambaye hakutaka jina lake litajwe amethibitisha kuwa, picha zilizosambazwa katika mtandao wa kijamii wa Facebook na jeshi la Libya zikionyesha makomando hao wa Marekani wakiondoka nchini humo, ni za kweli. 

Amesema makomando hao walilazimika kuondoka Libya muda mfupi baada ya kuwasili, baada ya kutakiwa kufanya hivyo na kundi moja la waasi katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. 

Kikosi hicho cha makomando wa Marekani kilienda Libya mnamo Disemba 14, kwa kile kilichotajwa kuwa ‘kuimarisha uhusiano wa kiulinzi na kiusalama na jeshi la nchi hiyo’, lakini wakalazimika kuondoka kufuatia vitisho vya kundi la waasi katika nchi hiyo ya Kiafrika.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :