Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » ZAIDI YA ASILIMIA 98 WAKUBALIANA NA KUBADILI KATIBA RWANDA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Wananchi wa Rwanda jana walijitokeza kwa wingi kwenye kura ya maoni kuhusu mabadiliko ya Katiba na kupasisha kwa asilimia kubwa marekebisho hayo yaliyolalamikiwa vikali na Umoja wa Ulaya na wanaharakati wa kupigania demokrasia na makabidhiano salama ya madaraka. 

Gazeti la serikali la The New Times limeandika leo kuwa, asilimia 98.1 ya wapiga kura wamepigia "Yego" yaani Ndio, marekebisho hayo.

Matokeo ya awali yaliyotangazwa jana usiku na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Rwanda NEC kutoka wilaya 21 kati ya wili 30 zilizoshiriki kwenye kura hiyo ya maoni yanaonesha kuwa marekebisho hayo yamepitishwa kwa asilimia 70 suala ambalo linabashiri kupitishwa kwa zaidi ya asilimia 98 marekebisho hayo. 


Hata hivyo Rais Paul Kagame hadi hivi sasa hajaamua iwapo ataendelea kugombea urais au la. Toleo la mtandaoni la gazeti la New Vision la nchini Uganda limemnukuu Rais Paul Kagame wa Rwanda akisema kuwa, atatangaza uamuzi wake baada ya matokeo rasmi ya kura hiyo ya maoni. 

Gazeti hilo pia limemnukuu Kagame akisema kuwa, hana mpango wa kuwa rais wa maisha wa Rwanda.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / ZAIDI YA ASILIMIA 98 WAKUBALIANA NA KUBADILI KATIBA RWANDA

Wananchi wa Rwanda jana walijitokeza kwa wingi kwenye kura ya maoni kuhusu mabadiliko ya Katiba na kupasisha kwa asilimia kubwa marekebisho hayo yaliyolalamikiwa vikali na Umoja wa Ulaya na wanaharakati wa kupigania demokrasia na makabidhiano salama ya madaraka. 

Gazeti la serikali la The New Times limeandika leo kuwa, asilimia 98.1 ya wapiga kura wamepigia "Yego" yaani Ndio, marekebisho hayo.

Matokeo ya awali yaliyotangazwa jana usiku na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Rwanda NEC kutoka wilaya 21 kati ya wili 30 zilizoshiriki kwenye kura hiyo ya maoni yanaonesha kuwa marekebisho hayo yamepitishwa kwa asilimia 70 suala ambalo linabashiri kupitishwa kwa zaidi ya asilimia 98 marekebisho hayo. 


Hata hivyo Rais Paul Kagame hadi hivi sasa hajaamua iwapo ataendelea kugombea urais au la. Toleo la mtandaoni la gazeti la New Vision la nchini Uganda limemnukuu Rais Paul Kagame wa Rwanda akisema kuwa, atatangaza uamuzi wake baada ya matokeo rasmi ya kura hiyo ya maoni. 

Gazeti hilo pia limemnukuu Kagame akisema kuwa, hana mpango wa kuwa rais wa maisha wa Rwanda.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :