Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » » MH.ANTHONY MAVUNDE SASA KUKAMILISHA AHADI YA KUWASAIDIA VIJANA KUJIAJIRI, SASA KUPITIA TLF ANATOA PIKIPIKI 400 DODOMA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



WAENDESHA Bodaboda 400 wa manispaa Dodoma wameanza kunufaika na ahadi za Mbunge wa jimbo hilo Anthon Mavunde kwa kuanza kupatiwa mikopo ya Pikipiki za mataili matatu na mawili kwa bei nafuu ili kukuza na kuendeleza mitaji yao ili kuweza kujikwamua kiuchumi.
                                        
Akiongea katika mahojiano na kipindi cha Dodoma 24 kinachorushwa na kituo cha Redio cha Rasi Fm cha mjini humo Mshauri wa kampuni ya kutoa mkopo nafuu [TLF] Godbless George ambapo amesema kampuni hiyo imeingia  mkataba na Mbunge wa jimbo hilo kwa ajili ya kuwawezesha vijana kama utekelezaji wa Ahadi zake

Amesema  kwa awamu ya kwanza wameanza na vijana  400 wanaopitia katika chama cha waendesha Bodaboda Wilaya ya Dodoma Mjini  ambapo kwa sasa wameanza kuwapa mafunzo ya namna ya kuzitumia pikipiki hizo ambazo malengo yake ni kuwainua kuiuchumi.

Aidha Mshauri huyo amesema vijani hao kama wataweza kuzingatia misingi ya uendeshaji huo na kuwa na nidhamu katika mapato yake na dhahili kuwa watapiga hatua za kimaendeleo ambapo kila mmoja anatakiwa kufanya marejesho ya 7000 kwa siku tofauti na kampuni nyingine zinazotoza Elfu kumi kwa siku.

Huyu hapa ni Mshauri wa kampuni ya kutoa mikopo nafuu [TLF] Godbless George akitoa ufafanuzi kwa ufupi juu ya zoezi hilo

 

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / / MH.ANTHONY MAVUNDE SASA KUKAMILISHA AHADI YA KUWASAIDIA VIJANA KUJIAJIRI, SASA KUPITIA TLF ANATOA PIKIPIKI 400 DODOMA



WAENDESHA Bodaboda 400 wa manispaa Dodoma wameanza kunufaika na ahadi za Mbunge wa jimbo hilo Anthon Mavunde kwa kuanza kupatiwa mikopo ya Pikipiki za mataili matatu na mawili kwa bei nafuu ili kukuza na kuendeleza mitaji yao ili kuweza kujikwamua kiuchumi.
                                        
Akiongea katika mahojiano na kipindi cha Dodoma 24 kinachorushwa na kituo cha Redio cha Rasi Fm cha mjini humo Mshauri wa kampuni ya kutoa mkopo nafuu [TLF] Godbless George ambapo amesema kampuni hiyo imeingia  mkataba na Mbunge wa jimbo hilo kwa ajili ya kuwawezesha vijana kama utekelezaji wa Ahadi zake

Amesema  kwa awamu ya kwanza wameanza na vijana  400 wanaopitia katika chama cha waendesha Bodaboda Wilaya ya Dodoma Mjini  ambapo kwa sasa wameanza kuwapa mafunzo ya namna ya kuzitumia pikipiki hizo ambazo malengo yake ni kuwainua kuiuchumi.

Aidha Mshauri huyo amesema vijani hao kama wataweza kuzingatia misingi ya uendeshaji huo na kuwa na nidhamu katika mapato yake na dhahili kuwa watapiga hatua za kimaendeleo ambapo kila mmoja anatakiwa kufanya marejesho ya 7000 kwa siku tofauti na kampuni nyingine zinazotoza Elfu kumi kwa siku.

Huyu hapa ni Mshauri wa kampuni ya kutoa mikopo nafuu [TLF] Godbless George akitoa ufafanuzi kwa ufupi juu ya zoezi hilo

 


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :