Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » WATUMISHI NEC WAPONGEZWA KWA KUFANIKISHA UCHAGUZI MKUU 2015
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



Afisa Ushirika toka Manispaa ya Ilala Bi. Mihayo Malunde akielezea umuhimu wa Watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuanzisha kikundi cha akiba na mikopo (SACCOS) wakati wa kikao kazi kilichofanyika mapema hii leo jijini Dar es Salaam.



Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Ramadhan Kailima (aliyesimama) akiwakaribisha wajumbe na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya uchaguzi wakati Wajumbe hao na Mwenyekiti walipokwenda kuwashukuru na kuwapongeza watumishi wa tume hiyo kwa kuweza kufanikisha zoezi la uchaguzi kwa mafanikio makubwa.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akiongea na watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakati alipokwenda kuwashukuru na kuwapongeza watumishi wa tume hiyo kwa kuweza kufanikisha zoezi la uchaguzi kwa mafanikio makubwa mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Ramadhan Kailima (aliyesimama) akifurahia jambo na watumishi wa tume hiyo wakati  Wajumbe na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya uchaguzi  walipokwenda kuwashukuru na kuwapongeza watumishi wa tume hiyo kwa kuweza kufanikisha zoezi la uchaguzi kwa mafanikio makubwa

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / WATUMISHI NEC WAPONGEZWA KWA KUFANIKISHA UCHAGUZI MKUU 2015



Afisa Ushirika toka Manispaa ya Ilala Bi. Mihayo Malunde akielezea umuhimu wa Watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuanzisha kikundi cha akiba na mikopo (SACCOS) wakati wa kikao kazi kilichofanyika mapema hii leo jijini Dar es Salaam.



Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Ramadhan Kailima (aliyesimama) akiwakaribisha wajumbe na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya uchaguzi wakati Wajumbe hao na Mwenyekiti walipokwenda kuwashukuru na kuwapongeza watumishi wa tume hiyo kwa kuweza kufanikisha zoezi la uchaguzi kwa mafanikio makubwa.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akiongea na watumishi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakati alipokwenda kuwashukuru na kuwapongeza watumishi wa tume hiyo kwa kuweza kufanikisha zoezi la uchaguzi kwa mafanikio makubwa mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Ramadhan Kailima (aliyesimama) akifurahia jambo na watumishi wa tume hiyo wakati  Wajumbe na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya uchaguzi  walipokwenda kuwashukuru na kuwapongeza watumishi wa tume hiyo kwa kuweza kufanikisha zoezi la uchaguzi kwa mafanikio makubwa


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :