Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » SIMBA SC OUT FA CUP 2016 TANZANIA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Hatua ya Robo fainali ya mwisho ya michuano ya Kombe la Shirikisho Tanzania (Federation Cup) imepigwa kati ya Coastal Union dhidi ya Simba katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam na huku coastal Union
ikifanikiwa kuitoa Simba katika michuano hiyo kwa ushindi wa Bao 2-1.
Magoli ya coastal yamefungwa na Mchezaji wa Cameroon Youssouf Sabo,huku goli la Simba likifungwa na Mganda Hamisi Kiiza.
Coastal sasa inajumuika na Yanga, Azam FC na Mwadui kwenye Droo ya kupanga Mechi za hatua ya Nusu Fainali itakayofanyika Jumanne .
Mshindi wa Michuano hili ataiwakilisha Tanzania mwaka 2017 katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF).

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / SIMBA SC OUT FA CUP 2016 TANZANIA

Hatua ya Robo fainali ya mwisho ya michuano ya Kombe la Shirikisho Tanzania (Federation Cup) imepigwa kati ya Coastal Union dhidi ya Simba katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam na huku coastal Union
ikifanikiwa kuitoa Simba katika michuano hiyo kwa ushindi wa Bao 2-1.
Magoli ya coastal yamefungwa na Mchezaji wa Cameroon Youssouf Sabo,huku goli la Simba likifungwa na Mganda Hamisi Kiiza.
Coastal sasa inajumuika na Yanga, Azam FC na Mwadui kwenye Droo ya kupanga Mechi za hatua ya Nusu Fainali itakayofanyika Jumanne .
Mshindi wa Michuano hili ataiwakilisha Tanzania mwaka 2017 katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF).

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :