Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MKUTANO WA UPATANISHI UMEANZA RASMI JIJINI ARUSHA CHINI YA MPATANISHI RAIS MSTAAFU WA TANZANIA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa Benjamin Mkapa
Akizungumza wakati akifungua mjadala wa mazungumzo hayo rais mstaafu bwana mkapa amesisistiza umuhimu wa pande zinazopingana kutoa ushirikiano ili lengo la kurejesha amani nchini burundi liweze kufikiwa.

Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin Mkapa ameanza mazungumzo ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa burundi kwa kuzitaka pande zinazopingana kutambua kwamba hatima ya amani ya nchi iko mikononi mwao.

Akizungumza wakati akifungua mjadala wa mazungumzo hayo huko Arusha nchini Tanzania, rais mstaafu bwana Mkapa amesisistiza umuhimu wa pande zinazopingana kutoa ushirikiano ili lengo la kurejesha amani nchini Burundi liweze kufikiwa.

Hatua ya kuanza mazungumzo hayo imepokelewa kwa matumaini makubwa na wawakilishi wa jumuiya ya kimataifa akiwemo Jamar Bonomaar kutoka umoja wa mataifa na katibu mkuu wa jumuiya ya Afrika Mashariki balozi Liberate Mfumukeko ambao wamesema watahakikisha kuwa wanatoa ushirikiano mkubwa.

Hata hivyo katibu wa chama cha CNDD bwana William Munyembabazi na mtendaji mkuu wa chama cha wanasheria wa Afrika wamesema hatua ya baadhi ya vyama vidogo vya upinzani na wanaharakati wengine wa Burundi kutoalikwa katika mjadala huo inaweza kuathiri mazungumzo hayo.

Mazungumzo hayo yanatarajiwa kuendelea kwa siku nne mfululizo .

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MKUTANO WA UPATANISHI UMEANZA RASMI JIJINI ARUSHA CHINI YA MPATANISHI RAIS MSTAAFU WA TANZANIA

Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa Benjamin Mkapa
Akizungumza wakati akifungua mjadala wa mazungumzo hayo rais mstaafu bwana mkapa amesisistiza umuhimu wa pande zinazopingana kutoa ushirikiano ili lengo la kurejesha amani nchini burundi liweze kufikiwa.

Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania, Benjamin Mkapa ameanza mazungumzo ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa burundi kwa kuzitaka pande zinazopingana kutambua kwamba hatima ya amani ya nchi iko mikononi mwao.

Akizungumza wakati akifungua mjadala wa mazungumzo hayo huko Arusha nchini Tanzania, rais mstaafu bwana Mkapa amesisistiza umuhimu wa pande zinazopingana kutoa ushirikiano ili lengo la kurejesha amani nchini Burundi liweze kufikiwa.

Hatua ya kuanza mazungumzo hayo imepokelewa kwa matumaini makubwa na wawakilishi wa jumuiya ya kimataifa akiwemo Jamar Bonomaar kutoka umoja wa mataifa na katibu mkuu wa jumuiya ya Afrika Mashariki balozi Liberate Mfumukeko ambao wamesema watahakikisha kuwa wanatoa ushirikiano mkubwa.

Hata hivyo katibu wa chama cha CNDD bwana William Munyembabazi na mtendaji mkuu wa chama cha wanasheria wa Afrika wamesema hatua ya baadhi ya vyama vidogo vya upinzani na wanaharakati wengine wa Burundi kutoalikwa katika mjadala huo inaweza kuathiri mazungumzo hayo.

Mazungumzo hayo yanatarajiwa kuendelea kwa siku nne mfululizo .

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :