Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MAVETERAN WA KIASKARI ZIMBABWE WAANZA KUONESHA UPINZANI KWA RAIS MUGABE
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Rais Robert Mugabe na mkewe Grace Mugabe, wakifurahia jambo
Chama cha askari wa zamani waliopigana vita nchini Zimbabwe, ambao wamekuwa kiungo muhimu katika uongozi wa rais Robert Mugabe na wakati mwingine wamekuwa chanzo cha vurugu kutokana na wanavyomuunga mkono rais huyo.

Ingawa kuna taarifa kutoka nchini Zimbabwe zikiarifu kwamba maveterani hao wameamua kutoa waraka wenye kuonesha msimamo wao kwamba kuanzia sasa hawatamuunga mkono tena rais huyo.

Chama hicho kinamshutumu rais Mugabe kwa tabia zake za kidikteta ,kuongoza kwa matakwa yake, na utawala mbovu ,ingawa haijafahamika wazi mpaka sasa ikiwa askari wote wa zamani wamekubaliana juu ya tamko hilo lililotolewa chini ya mwavuli wa chama.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na mkanyiko wa mawazo miongoni mwa wa Zimbabwe kila uchao kutokana na hali mbaya ya kiuchumi inayoikabili nchi hiyo kwa sasa.

Kwa sasa rais Robert Mugabe ana mika tisini na miwili,na kwa baadhi ya vikundi wakati fulani ndani ya uongozi wa chama cha Zanu-PF chama wamehusika katika mfululizo wa mapambano kama hayo ili kuinusuru Zimbabwe.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MAVETERAN WA KIASKARI ZIMBABWE WAANZA KUONESHA UPINZANI KWA RAIS MUGABE

Rais Robert Mugabe na mkewe Grace Mugabe, wakifurahia jambo
Chama cha askari wa zamani waliopigana vita nchini Zimbabwe, ambao wamekuwa kiungo muhimu katika uongozi wa rais Robert Mugabe na wakati mwingine wamekuwa chanzo cha vurugu kutokana na wanavyomuunga mkono rais huyo.

Ingawa kuna taarifa kutoka nchini Zimbabwe zikiarifu kwamba maveterani hao wameamua kutoa waraka wenye kuonesha msimamo wao kwamba kuanzia sasa hawatamuunga mkono tena rais huyo.

Chama hicho kinamshutumu rais Mugabe kwa tabia zake za kidikteta ,kuongoza kwa matakwa yake, na utawala mbovu ,ingawa haijafahamika wazi mpaka sasa ikiwa askari wote wa zamani wamekubaliana juu ya tamko hilo lililotolewa chini ya mwavuli wa chama.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na mkanyiko wa mawazo miongoni mwa wa Zimbabwe kila uchao kutokana na hali mbaya ya kiuchumi inayoikabili nchi hiyo kwa sasa.

Kwa sasa rais Robert Mugabe ana mika tisini na miwili,na kwa baadhi ya vikundi wakati fulani ndani ya uongozi wa chama cha Zanu-PF chama wamehusika katika mfululizo wa mapambano kama hayo ili kuinusuru Zimbabwe.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :