Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » BAADA Y AKUTAMKA HAYA MANENO, MESSI AMETANGAZA RASMI KUREJEA KIKOSI CHA TAIFA CHA ARGENTINA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Mshambuliaji nyota wa Barcelona, Lionel Messi amekubali kurejea katika kikosi cha timu yake ya taifa ya Argentina.

Messi alitangaza kustaafu mwezi Juni baada ya michuano ya Copa America walipofungwa na Chile. 

Lakini mazungumzo yaliyohusisha hadi serikali ya Argentina, yalikuwa yakiendelea na mwisho ametangaza kwamba anarejea.

“Nilianza kuona mimi ni kama tatizo. Ninaipenda sana nchi yangu, ninaipenda sana timu yangu ya taifa,” alisema Messi.

“Ninaona ninaweza tena kuungana nao na kufanya kila juhudi ifanye vizuri, niliamua vile kwa kuwa sikutaka kuendelea kuumia au kuwaumiza wanaonitegemea,” aliongeza.


Ingawa hajasema moja kwa moja lakini inaelezwa ataanza kuitumikia tena Argentina katika mechi dhidi ya Uruguay halafu Venezuela kuwania kucheza Kombe la Dunia.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / BAADA Y AKUTAMKA HAYA MANENO, MESSI AMETANGAZA RASMI KUREJEA KIKOSI CHA TAIFA CHA ARGENTINA

Mshambuliaji nyota wa Barcelona, Lionel Messi amekubali kurejea katika kikosi cha timu yake ya taifa ya Argentina.

Messi alitangaza kustaafu mwezi Juni baada ya michuano ya Copa America walipofungwa na Chile. 

Lakini mazungumzo yaliyohusisha hadi serikali ya Argentina, yalikuwa yakiendelea na mwisho ametangaza kwamba anarejea.

“Nilianza kuona mimi ni kama tatizo. Ninaipenda sana nchi yangu, ninaipenda sana timu yangu ya taifa,” alisema Messi.

“Ninaona ninaweza tena kuungana nao na kufanya kila juhudi ifanye vizuri, niliamua vile kwa kuwa sikutaka kuendelea kuumia au kuwaumiza wanaonitegemea,” aliongeza.


Ingawa hajasema moja kwa moja lakini inaelezwa ataanza kuitumikia tena Argentina katika mechi dhidi ya Uruguay halafu Venezuela kuwania kucheza Kombe la Dunia.


«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :