Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MANJI AJIUZULU UENYEKITI YANGA SC, SERIKALI YATAJWA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Taarifa ambazo zimetukifikia muda mfupi kutoka kwa chanzo cha ndani cha klabu ya Yanga kinaeleza kuwa klabu hiyo imepata mshtuko baada ya mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusph Manji kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa klabu hiyo.
Katika taarifa ambayo imewekwa mtandaoni na mmoja wa wanachama wa Yanga ambaye yupo karibu na uongozi, Godlisten Anderson ameandika katika akaunti yake ya Instagram na Facebook kuwa Manji amejiuzulu kuingoza Yanga kwa madai ya kupata shutuma kutoka kwa viongozi wa serikali na baadhi ya viongozi wa Yanga ambao wanatumiwa na wafanyabiashara ambao hawana nia njema na Yanga.
Aidha sambamba na kujiuzulu nafasi hiyo, pia inaelezwa kuwa Manji amesitisha mpango wake wa kuitumia Yanga kibiashara kwa kuikodisha na kutumia nembo ya Yanga kwa miaka 10.
Hilo linaelezwa kuwa pigo kubwa ndani ya Yanga kwani tayari wapinzani wao Simba wapo katika hatua za kufanya mabadiliko na hilo linatajwa kuwachanganya viongozi wa Yanga kwani inasemekana kuwa wamekuwa wakipishana katika ofisi za Manji zilizopo katika jengo la Quality Plaza.
Aidha Mo Blog ilipojaribu kumtafuta Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro ili azungumzie taarifa hizo simu yake iliita bila kupokelewa.

STORY IKO HIVI
MANJI AAMUA KUKAA PEMBENI YANGA
Habari za uhakika ambazo tumezipata kutoka katika chanzo cha uhakika ndani ya Yanga zinaonyesha kuwa mwenyekiti wa Yanga Bw Yusuf manji ameamua kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa yanga pamoja na kusitisha kusudio lake la kuichukua na kuendesha kibiashara timu ya Yanga na nembo yake .
Hili ni anguko kuu kwa yanga endapo Bw Yusuf manji atajionda Yanga kutokana na ukweli kuwa tayari mahasimu wao wa jadi Simba wanakamilisha taratibu za kumkabidhi timu Bw mohamed Dewji MO.
Uamuzi wa manji kujiondoa yanga unatajwa kuchangiwa na shutuma zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa serikali, na wengine kutoka ndani ya yanga ambao wanatumiwa na baadhi ya wafanyabiashara kwa maslahi yao binafsi na sio ya yanga.
Manji anaonekana kuchoshwa na tabia za baadhi ya watu kumtukana na kumkebehi kwa hatua yake ya kuichukua timu ya Yanga na sasa ameamua kukaa pembeni kulinda heshima yake .
Hata hivyo viongozi wa Secretary ya yanga siku nzima ya leo wameonekana kuchanganyikiwa uku baadhi wakiwa wanapigana vikumbo kuingia na kutoka quality plaza zilizopo ofisi za Bw manji hatua inayoashiri kuna jambo kubwa linatokea.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MANJI AJIUZULU UENYEKITI YANGA SC, SERIKALI YATAJWA


Taarifa ambazo zimetukifikia muda mfupi kutoka kwa chanzo cha ndani cha klabu ya Yanga kinaeleza kuwa klabu hiyo imepata mshtuko baada ya mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusph Manji kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa klabu hiyo.
Katika taarifa ambayo imewekwa mtandaoni na mmoja wa wanachama wa Yanga ambaye yupo karibu na uongozi, Godlisten Anderson ameandika katika akaunti yake ya Instagram na Facebook kuwa Manji amejiuzulu kuingoza Yanga kwa madai ya kupata shutuma kutoka kwa viongozi wa serikali na baadhi ya viongozi wa Yanga ambao wanatumiwa na wafanyabiashara ambao hawana nia njema na Yanga.
Aidha sambamba na kujiuzulu nafasi hiyo, pia inaelezwa kuwa Manji amesitisha mpango wake wa kuitumia Yanga kibiashara kwa kuikodisha na kutumia nembo ya Yanga kwa miaka 10.
Hilo linaelezwa kuwa pigo kubwa ndani ya Yanga kwani tayari wapinzani wao Simba wapo katika hatua za kufanya mabadiliko na hilo linatajwa kuwachanganya viongozi wa Yanga kwani inasemekana kuwa wamekuwa wakipishana katika ofisi za Manji zilizopo katika jengo la Quality Plaza.
Aidha Mo Blog ilipojaribu kumtafuta Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro ili azungumzie taarifa hizo simu yake iliita bila kupokelewa.

STORY IKO HIVI
MANJI AAMUA KUKAA PEMBENI YANGA
Habari za uhakika ambazo tumezipata kutoka katika chanzo cha uhakika ndani ya Yanga zinaonyesha kuwa mwenyekiti wa Yanga Bw Yusuf manji ameamua kujiuzulu nafasi yake ya uenyekiti wa yanga pamoja na kusitisha kusudio lake la kuichukua na kuendesha kibiashara timu ya Yanga na nembo yake .
Hili ni anguko kuu kwa yanga endapo Bw Yusuf manji atajionda Yanga kutokana na ukweli kuwa tayari mahasimu wao wa jadi Simba wanakamilisha taratibu za kumkabidhi timu Bw mohamed Dewji MO.
Uamuzi wa manji kujiondoa yanga unatajwa kuchangiwa na shutuma zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa serikali, na wengine kutoka ndani ya yanga ambao wanatumiwa na baadhi ya wafanyabiashara kwa maslahi yao binafsi na sio ya yanga.
Manji anaonekana kuchoshwa na tabia za baadhi ya watu kumtukana na kumkebehi kwa hatua yake ya kuichukua timu ya Yanga na sasa ameamua kukaa pembeni kulinda heshima yake .
Hata hivyo viongozi wa Secretary ya yanga siku nzima ya leo wameonekana kuchanganyikiwa uku baadhi wakiwa wanapigana vikumbo kuingia na kutoka quality plaza zilizopo ofisi za Bw manji hatua inayoashiri kuna jambo kubwa linatokea.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :