Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » JINA LA FIDEL CASTRO, KUTOTUMIKA KUPEWA MITAA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Bunge la Cuba limepitisha kwa kauli moja katazo la kuzuia majengo, mitaa au minara ya kumbukumbu kupewa jina la mwanamapinduzi mkongwe nchini humo Fidel Castro, ambaye alifariki dunia mwezi uliopita.
Rais wa Cuba Raul Castro amesa kaka yake alipinga mitindo hiyo na hadi kufikia hatua ya kuliwasilisha suala hilo bungeni kupigiwa kura.
Fidel Castro aliongoza mapinduzi ya Cuba, ambayo mwaka 1959, waliuondoa madarakani utawala uliokuwa ukiungwa mkono na Marekani.
Aliifanya nchi hiyo kuwa ya Kikomunisti na kubaki kwenye utawala kwa takriban miongo mitano.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / JINA LA FIDEL CASTRO, KUTOTUMIKA KUPEWA MITAA

Bunge la Cuba limepitisha kwa kauli moja katazo la kuzuia majengo, mitaa au minara ya kumbukumbu kupewa jina la mwanamapinduzi mkongwe nchini humo Fidel Castro, ambaye alifariki dunia mwezi uliopita.
Rais wa Cuba Raul Castro amesa kaka yake alipinga mitindo hiyo na hadi kufikia hatua ya kuliwasilisha suala hilo bungeni kupigiwa kura.
Fidel Castro aliongoza mapinduzi ya Cuba, ambayo mwaka 1959, waliuondoa madarakani utawala uliokuwa ukiungwa mkono na Marekani.
Aliifanya nchi hiyo kuwa ya Kikomunisti na kubaki kwenye utawala kwa takriban miongo mitano.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :