Rais Dkt.John Pombe Magufuli ametua jijini Mwanza akielekea Chato na kutoa maagizo ya kukamilishwa kwa ukarabati njia ya ndege na kuruhusu barabara iliyokuwa imefungwa na uongozi wa Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya kuzuia waendesha bodaboda.
Hapo chini kuna ripoti ya dakika tatu ya mambo yote aliyoyafanya Rais Magufuli baada kutua Mwanza
No comments
Post a Comment