Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » LOWASA JINA KUBWA KULIKO YEYE MWENYEWE.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Kimtazamo jina la Lowassa linatisha na kutetemesha. Kwa wapenzi wake, Lowassa anapendwa na kuabudiwa- na lolote analosema ni kama amri kwa wapenzi wake.

Lowassa ameweza kuwateka mpaka wasomi, watu ambao unategemea wanaweza kuchambua na kutathmini kinachotoka kwenye mdomo wake. Lakini kwa wale wasiomjua vizuri Lowassa, picha kwao kidogo ni tofauti.


Nina ndugu yangu kanitembelea kutoka Perth, Australia. Ni Mtanzania ambaye ameishi Australia kwa kipindi cha miaka 30. Yeye hamjui vizuri Lowassa ila alipokuja tu Tanzania amesikia mengi kumhusu. Kichwani kwake akajenga picha ya mwanasiasa nguli, kama Nyerere au Mandela vile (alivyoniambia). Kwa sifa za watanzania wanazompa, ndugu yangu akajua kweli Tanzania sasa imepata kiongozi anayependwa na anayekubalika.

Mawazo yake hayo yalikuwa hivo mpaka alipoamua kwenda kwenye campaign za Lowassa pale Kigamboni hiyo jana. Ndugu yangu huyu alishangazwa sana na Lowassa 'mwenyewe'. Alitegemea kukutana na kiongozi anayejua kuongea na watu wake na mwenye kumwaga sera za maana.

Ndugu yangu anasema 'nimeona watu wanamshangilia kama 'wehu'. Hata kwa maneno ambayo hayasikiki vizuri na wakati mwingine kwa maneno yasiyokuwa na msingi.

Anasema 'kama kweli Lowassa ni mwanasiasa...mbona hata kuongea hajui?' Mimi sikumjibu...ila katika tafakari zangu nikaona kweli picha ya Lowassa iliyojengwa haendani na yeye mwenyewe. Amewekwa juu sana kuliko anapostahili. Huwa najiuliza hivi huyu mtu anasujudiwa kwa kipi hasa au amepata 'zali la mentali'?

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / LOWASA JINA KUBWA KULIKO YEYE MWENYEWE.

Kimtazamo jina la Lowassa linatisha na kutetemesha. Kwa wapenzi wake, Lowassa anapendwa na kuabudiwa- na lolote analosema ni kama amri kwa wapenzi wake.

Lowassa ameweza kuwateka mpaka wasomi, watu ambao unategemea wanaweza kuchambua na kutathmini kinachotoka kwenye mdomo wake. Lakini kwa wale wasiomjua vizuri Lowassa, picha kwao kidogo ni tofauti.


Nina ndugu yangu kanitembelea kutoka Perth, Australia. Ni Mtanzania ambaye ameishi Australia kwa kipindi cha miaka 30. Yeye hamjui vizuri Lowassa ila alipokuja tu Tanzania amesikia mengi kumhusu. Kichwani kwake akajenga picha ya mwanasiasa nguli, kama Nyerere au Mandela vile (alivyoniambia). Kwa sifa za watanzania wanazompa, ndugu yangu akajua kweli Tanzania sasa imepata kiongozi anayependwa na anayekubalika.

Mawazo yake hayo yalikuwa hivo mpaka alipoamua kwenda kwenye campaign za Lowassa pale Kigamboni hiyo jana. Ndugu yangu huyu alishangazwa sana na Lowassa 'mwenyewe'. Alitegemea kukutana na kiongozi anayejua kuongea na watu wake na mwenye kumwaga sera za maana.

Ndugu yangu anasema 'nimeona watu wanamshangilia kama 'wehu'. Hata kwa maneno ambayo hayasikiki vizuri na wakati mwingine kwa maneno yasiyokuwa na msingi.

Anasema 'kama kweli Lowassa ni mwanasiasa...mbona hata kuongea hajui?' Mimi sikumjibu...ila katika tafakari zangu nikaona kweli picha ya Lowassa iliyojengwa haendani na yeye mwenyewe. Amewekwa juu sana kuliko anapostahili. Huwa najiuliza hivi huyu mtu anasujudiwa kwa kipi hasa au amepata 'zali la mentali'?

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :