Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MAGUFULI AHAIDI KUKUZA PATO LA TAIFA ILI SERIKALI IMUDU KUTOA HUDUMA KWA JAMII.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Wananchi waishio katika mikoa ya Kigoma na Kagera wameiomba serikali ya awamu ya tano itakayoingia madarakani kuimarisha miundo mbinu hasa ya reli kwa kuunganisha na nchi jirani pamoja na uwepo wa bandari bubu ili kusaidia kuinua pato la taifa pamoja na uchumi wa maeneo hayo ambayo yako nyuma kimaendeleo ukilinganisha na maeneo mengine ya nchi.

Wananchi hao wametoa wito huo katika mikutano ya kampeni ya kusaka urais kupitia chama cha mapinduzi CCM na kuongeza kuwa baadhi ya maeneo ya mikoa hiyo kumebainika kuwepo na kiasi kikubwa cha maliasili yakiwemo madini na hivyo uwepo wa bandari ya nchi kavu pamoja na miundombinu ya reli kutasaidia kuchochea kukuwa kwa biasahara na hivyo kuinua vipato vyao na kuondoakana na umasikini.
 
Dr Magufuli ambaye amekuwa mkoani Kigoma akinadi sera za chama chake cha CCM na kuomba ridhaa ya watanzania kumpa kura ili aweze kuwa rais wa awamu ya tano ameanza kampeni zake mkoani Kagera ambapo akizungumza na wananchi wa eneo la Biharamulo amewahakikishia kuwatumikia watanzania kwa uaminifu na uadilifu na kuahidi kufanya jitihada za kukuza pato la taifa ili serikali imudu kutoa huduma za kutosha na za uhakika kwa jamii ya watanzania.
 
Akiwa wilayani Biharamulo mgombea huyo wa urais kupitia CCM Dr John Pombe Magufuli amehani msiba wa aliyekuwa mwalimu wake mkuu wa shule ya msingi marehemu Corneli ambapo kumefanyika sala fupi kwa ajili ya kumuombea.
CREDITY:ITV

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MAGUFULI AHAIDI KUKUZA PATO LA TAIFA ILI SERIKALI IMUDU KUTOA HUDUMA KWA JAMII.

Wananchi waishio katika mikoa ya Kigoma na Kagera wameiomba serikali ya awamu ya tano itakayoingia madarakani kuimarisha miundo mbinu hasa ya reli kwa kuunganisha na nchi jirani pamoja na uwepo wa bandari bubu ili kusaidia kuinua pato la taifa pamoja na uchumi wa maeneo hayo ambayo yako nyuma kimaendeleo ukilinganisha na maeneo mengine ya nchi.

Wananchi hao wametoa wito huo katika mikutano ya kampeni ya kusaka urais kupitia chama cha mapinduzi CCM na kuongeza kuwa baadhi ya maeneo ya mikoa hiyo kumebainika kuwepo na kiasi kikubwa cha maliasili yakiwemo madini na hivyo uwepo wa bandari ya nchi kavu pamoja na miundombinu ya reli kutasaidia kuchochea kukuwa kwa biasahara na hivyo kuinua vipato vyao na kuondoakana na umasikini.
 
Dr Magufuli ambaye amekuwa mkoani Kigoma akinadi sera za chama chake cha CCM na kuomba ridhaa ya watanzania kumpa kura ili aweze kuwa rais wa awamu ya tano ameanza kampeni zake mkoani Kagera ambapo akizungumza na wananchi wa eneo la Biharamulo amewahakikishia kuwatumikia watanzania kwa uaminifu na uadilifu na kuahidi kufanya jitihada za kukuza pato la taifa ili serikali imudu kutoa huduma za kutosha na za uhakika kwa jamii ya watanzania.
 
Akiwa wilayani Biharamulo mgombea huyo wa urais kupitia CCM Dr John Pombe Magufuli amehani msiba wa aliyekuwa mwalimu wake mkuu wa shule ya msingi marehemu Corneli ambapo kumefanyika sala fupi kwa ajili ya kumuombea.
CREDITY:ITV

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :