Mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni Mstaafuu
Chiku Gallawa akifanunua jambo alipokuwa akifungua mkutano wa chama cha
waandishi wa habari na wadau mbalimbali mjini humo.
Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoani Dodoma Habel
Chidawal akizungumza jambo kabla ya kumkaribisha Mkuu wa mkoa kufungua
mkutano huo.
Mwandishi wa kituo cha chanel ten
Kuringe Mongi akitoa mada kuhusu Mahusiano kati ya waandishi wa habari
na wadau mbalimbali vikiwemo vyama siasa, wagombea, jeshi la polisi na
wasimamizi wa uchaguzi tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Mwandishi wa TBC IDD Maalimu akitoa mada kuhusu maadili ya waandishi wa
habari katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.
Makamu Mwenyekiti wa CPC Rachel Chibwete akimshukuru mkuu wa mkoa mara baada ya kumaliza kufungua mkutano huo.
wadau wakibadilishana mawazo na mkuu wa mkoa |
No comments
Post a Comment