Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MOURINHO NA NYODO ZA KUIFUNDISHA AU KUTOIFUNDISHA CHELSEA BAADA YA MATOKEO MABAYA MSIKIE HAPA....
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Kocha Jose Mourinho wa Chelsea amesema kamwe hatakimbia Stamford Bridge eti kisa kile kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Southampton.


Lakini akasisitiza, kama wanataka kumfukuza, poa tu lakini watajuta kumfukuza kocha gwiji ambaye hawakuwahi kuwa naye.

Mourinho ameiambia runinga ya Sky hivi: “Moja, kamwe siwezi kukimbia, siwezi kukimbia majukumu yangu.”

“Pili kama klabu wanataka kunitimua, basi wafanye hivyo lakini watajuta kumfukuza kocha bora kama mimi.”

Licha ya kutangulia kufunga, Chelsea ikiwa nyumbani imekutana na kipigo hicho cha mabao 3-1 dhidi ya Southampton.


Boss wa Mourinho akimtafakari mourinho na timu yake



About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MOURINHO NA NYODO ZA KUIFUNDISHA AU KUTOIFUNDISHA CHELSEA BAADA YA MATOKEO MABAYA MSIKIE HAPA....


Kocha Jose Mourinho wa Chelsea amesema kamwe hatakimbia Stamford Bridge eti kisa kile kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Southampton.


Lakini akasisitiza, kama wanataka kumfukuza, poa tu lakini watajuta kumfukuza kocha gwiji ambaye hawakuwahi kuwa naye.

Mourinho ameiambia runinga ya Sky hivi: “Moja, kamwe siwezi kukimbia, siwezi kukimbia majukumu yangu.”

“Pili kama klabu wanataka kunitimua, basi wafanye hivyo lakini watajuta kumfukuza kocha bora kama mimi.”

Licha ya kutangulia kufunga, Chelsea ikiwa nyumbani imekutana na kipigo hicho cha mabao 3-1 dhidi ya Southampton.


Boss wa Mourinho akimtafakari mourinho na timu yake




«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :