Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MOURINHO:FAINI Y AFA NI FEDHEHA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema faini ya pauni 50,000 aliyotozwa na chama cha soka cha England (FA) ni fedheha.

Mourinho amepewa adhabu hiyo ya faini pamoja na marufuku ya mechi moja, ambayo haitatekelezwa kwa sasa, baada ya kupatikana na hatia ya utovu wa nidhamu kufuatia kauli yake kuhusu refa Robert Madley mara baada ya Chelsea kufungwa 3-1 na Southampton.

Mourinho ameeleza kuwa kutozwa faini hiyo na kufungiwa mechi moja ni kitu cha kushangaza.

Mourinho pia alimchimba Meneja wa Arsenal Arsene Wenger bila kumtaja jina alipogusia kuwa Wenger, "alisema nini mara baada ya kuchapwa 2-0 na Chelsea Mwezi uliopita?".

Wenger alidai refa wa mchezo ule Mike Dean, alikuwa ‘dhaifu’ na ‘asiyefahamu’ soka.

Mbali na hilo, Wenger pia hakuadhibiwa na FA Oktoba 2014 wakati alipomsukuma Mourinho, aliyekuwa eneo lake la ufundi, Chelsea ilipopambana na Arsenal.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MOURINHO:FAINI Y AFA NI FEDHEHA


Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amesema faini ya pauni 50,000 aliyotozwa na chama cha soka cha England (FA) ni fedheha.

Mourinho amepewa adhabu hiyo ya faini pamoja na marufuku ya mechi moja, ambayo haitatekelezwa kwa sasa, baada ya kupatikana na hatia ya utovu wa nidhamu kufuatia kauli yake kuhusu refa Robert Madley mara baada ya Chelsea kufungwa 3-1 na Southampton.

Mourinho ameeleza kuwa kutozwa faini hiyo na kufungiwa mechi moja ni kitu cha kushangaza.

Mourinho pia alimchimba Meneja wa Arsenal Arsene Wenger bila kumtaja jina alipogusia kuwa Wenger, "alisema nini mara baada ya kuchapwa 2-0 na Chelsea Mwezi uliopita?".

Wenger alidai refa wa mchezo ule Mike Dean, alikuwa ‘dhaifu’ na ‘asiyefahamu’ soka.

Mbali na hilo, Wenger pia hakuadhibiwa na FA Oktoba 2014 wakati alipomsukuma Mourinho, aliyekuwa eneo lake la ufundi, Chelsea ilipopambana na Arsenal.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :