Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MWANAMKE ALIYEMUUZA MWANAE MTANDAONI ASHTAKIWA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 20 nchini Afrika Kusini amefikishwa mahakamani leo kwa shutuma za kumuuza mwanawe kwa dola 400 kwenye mtandao unaonadi bidhaa wa Gumtree.

Ameshtakiwa kwa kufanya biashara haramu ya binadamu Katika mahakama ya jimbo la KwaZulu-Natal.

Polisi wanasema kuwa mwanamke huyo alitiwa nguvuni Jumanne wiki hii baada ya afisa wa polisi aliyekuwa akifanya upelelezi kujifanya mnunuzi wa mtoto huyo.

Mwanamke huyo hakutakiwa kujibu mashtaka aliposomewa mashtaka hayo katika mahakama Pietermaritzburg.

Hakimu aliagiza azuiliwe hadi Oktoba 26 kesi itakapoendelea tena.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MWANAMKE ALIYEMUUZA MWANAE MTANDAONI ASHTAKIWA


Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 20 nchini Afrika Kusini amefikishwa mahakamani leo kwa shutuma za kumuuza mwanawe kwa dola 400 kwenye mtandao unaonadi bidhaa wa Gumtree.

Ameshtakiwa kwa kufanya biashara haramu ya binadamu Katika mahakama ya jimbo la KwaZulu-Natal.

Polisi wanasema kuwa mwanamke huyo alitiwa nguvuni Jumanne wiki hii baada ya afisa wa polisi aliyekuwa akifanya upelelezi kujifanya mnunuzi wa mtoto huyo.

Mwanamke huyo hakutakiwa kujibu mashtaka aliposomewa mashtaka hayo katika mahakama Pietermaritzburg.

Hakimu aliagiza azuiliwe hadi Oktoba 26 kesi itakapoendelea tena.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :