Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MADRASSA UINGEREZA KUPIGWA MARUFUKU
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

 
Shule za Madrassa nchini Uingereza zinakabiliwa na udhibiti na ukaguzi chini ya mipango ya serikali iliochapishwa siku ya Alhamisi.
Mwezi uliopita waziri Mkuu David Cameron alisema kuwa baadhi ya watoto walikuwa 'wakipewa sumu na kufunzwa chuki' katika madrassa.

Mashirika ya kiislamu yanakubali kwamba udhibiti unahiitajika ili kuwalinda watoto lakini yananisistiza kuwa wasiwasi kuhusu msimamo mkali haufai.
Uingereza ina takriban madrassa 2,000.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MADRASSA UINGEREZA KUPIGWA MARUFUKU

 
Shule za Madrassa nchini Uingereza zinakabiliwa na udhibiti na ukaguzi chini ya mipango ya serikali iliochapishwa siku ya Alhamisi.
Mwezi uliopita waziri Mkuu David Cameron alisema kuwa baadhi ya watoto walikuwa 'wakipewa sumu na kufunzwa chuki' katika madrassa.

Mashirika ya kiislamu yanakubali kwamba udhibiti unahiitajika ili kuwalinda watoto lakini yananisistiza kuwa wasiwasi kuhusu msimamo mkali haufai.
Uingereza ina takriban madrassa 2,000.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :