Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » NIGERIA UNDER 17 MABINGWA DUNIA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.

Nigeria iliwachapa Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 mshambulia Victor Osimhen ndie aliyeanza kuipatia timu yake bao la kwanza na Funsho Ibrahim Bamgboye akiongeza bao la pili na la ushindi.

Kikosi cha cha vijana cha Nigeria kimeweza kutetea ubingwa wake baada ya kutwaa taji hilo la dunia la vijana mwaka 2013 walipoishinda Meixco kwa mabao 3-0.

Mshambuliajia Victor Osimhen ameibuka fungungaji bora wa kihistoria kwa kuzipasia nyavu jumla ya mabao 10 katika michuano hiyo.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / NIGERIA UNDER 17 MABINGWA DUNIA

Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.

Nigeria iliwachapa Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 mshambulia Victor Osimhen ndie aliyeanza kuipatia timu yake bao la kwanza na Funsho Ibrahim Bamgboye akiongeza bao la pili na la ushindi.

Kikosi cha cha vijana cha Nigeria kimeweza kutetea ubingwa wake baada ya kutwaa taji hilo la dunia la vijana mwaka 2013 walipoishinda Meixco kwa mabao 3-0.

Mshambuliajia Victor Osimhen ameibuka fungungaji bora wa kihistoria kwa kuzipasia nyavu jumla ya mabao 10 katika michuano hiyo.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :