Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » ETO'O KOCHA MSAIDIZI HUKO UTURUKI, KWANINI KAPEWA NAFASI HIYO...SOMA HAPA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon anayekipiga katika klabu ya Antalyaspor yaUturuki Samuel Eto’o bado yupo katika kikosi hicho na anapewa nafasi kubwa. Stori zilizotoka December 15 zinaeleza kuwa uongozi wa klabu ya Antalyaspor umempata majukumu mapya Samuel Eto’o ya kuwa kocha wa muda wa kikosi hiko.
Stori kutoka mtandao wa cameroononline.com unaeleza kuwa Eto’o atakuwa kocha mchezaji wa mpito wakati klabu yake ya Antalyaspor ikitafuta kocha mpya wa kudumu.Eto’o anatajwa kupewa nafasi hiyo huku akisaidiwa na kocha wa timu ya vijana Mehmet Ugurlu. Sababu ilyofanya uongozi ufikie maamuzi hayo ni baada ya kumfukuza kazi aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Simsek.

Eto’o ambaye amewahi kutamba kwa mafanikio katika klabu ya FC Barcelona na Inter Milan kiasi cha kutwaa taji la klabu Bingwa Ulaya akiwa na vilabu hivyo,  alijiunga na klabu ya Antalyaspor mwezi June 2015 akitokea klabu ya SampdoriaEto’o amewahi kuichezea klabu ya Chelsea ya Uingereza katika kipindi cha mwaka 2013/2014 akiwa chini ya kocha Jose Mourinho ambaye amewahi kumfundisha akiwa katika klabu ya Inter Milan.


About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / ETO'O KOCHA MSAIDIZI HUKO UTURUKI, KWANINI KAPEWA NAFASI HIYO...SOMA HAPA

Mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon anayekipiga katika klabu ya Antalyaspor yaUturuki Samuel Eto’o bado yupo katika kikosi hicho na anapewa nafasi kubwa. Stori zilizotoka December 15 zinaeleza kuwa uongozi wa klabu ya Antalyaspor umempata majukumu mapya Samuel Eto’o ya kuwa kocha wa muda wa kikosi hiko.
Stori kutoka mtandao wa cameroononline.com unaeleza kuwa Eto’o atakuwa kocha mchezaji wa mpito wakati klabu yake ya Antalyaspor ikitafuta kocha mpya wa kudumu.Eto’o anatajwa kupewa nafasi hiyo huku akisaidiwa na kocha wa timu ya vijana Mehmet Ugurlu. Sababu ilyofanya uongozi ufikie maamuzi hayo ni baada ya kumfukuza kazi aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Simsek.

Eto’o ambaye amewahi kutamba kwa mafanikio katika klabu ya FC Barcelona na Inter Milan kiasi cha kutwaa taji la klabu Bingwa Ulaya akiwa na vilabu hivyo,  alijiunga na klabu ya Antalyaspor mwezi June 2015 akitokea klabu ya SampdoriaEto’o amewahi kuichezea klabu ya Chelsea ya Uingereza katika kipindi cha mwaka 2013/2014 akiwa chini ya kocha Jose Mourinho ambaye amewahi kumfundisha akiwa katika klabu ya Inter Milan.



«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :