Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » MADRID YAUA 10 KWA 2 LA LIGA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Klabu ya soka ya Real Madrid iliifanikiwa kuichapa Timu ya Rayo Vallecano Bao 10-2 katika Mechi ya ligi kuu ya ispania maarufu kama (La Liga ) .

Madrid walianza kufunga mabao kupitia Danilo na Rayo Vallecano wakasawazisha na kuongeza bao na kuongoza ikiwa ni bao 2-1.

Katika ushindi wa mabao hayo 10-2 -mbali na mchezaji Danilo mabao mengine ya madridi yalifungwa na wachezaji Gareth Bale mabao manne (4) , Cristiano Ronaldo mabao mawili (2), Karim Benzema mabao matatu (3), huku mabao ya Rayo Vallecano yakifungwa na Antonio Amaya Pamoja na Jozabed.

Ushindi huu umewabakisha Real Madrid katika Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 2 nyuma ya Vinara Barcelona na Atletico Madrid .

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / MADRID YAUA 10 KWA 2 LA LIGA

Klabu ya soka ya Real Madrid iliifanikiwa kuichapa Timu ya Rayo Vallecano Bao 10-2 katika Mechi ya ligi kuu ya ispania maarufu kama (La Liga ) .

Madrid walianza kufunga mabao kupitia Danilo na Rayo Vallecano wakasawazisha na kuongeza bao na kuongoza ikiwa ni bao 2-1.

Katika ushindi wa mabao hayo 10-2 -mbali na mchezaji Danilo mabao mengine ya madridi yalifungwa na wachezaji Gareth Bale mabao manne (4) , Cristiano Ronaldo mabao mawili (2), Karim Benzema mabao matatu (3), huku mabao ya Rayo Vallecano yakifungwa na Antonio Amaya Pamoja na Jozabed.

Ushindi huu umewabakisha Real Madrid katika Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 2 nyuma ya Vinara Barcelona na Atletico Madrid .

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :