Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » ELIMU BURE KIZUNGUMKUTI MANISPAA YA DODOMA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Tangazo lililopo kwenye ukuta wa ofisi ya Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Dodoma Makulu Janeth Justine
Waziri wa Tamisemi Akishuka kwenye Gari alipofanya ziara ya kushtukiza katika shule ya msingi Dodoma makulu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi George Simbachawene akiongea na waandishi habari mjini Dodoma

Waziri Chawene na Mkurugenzi wa Elimu Msingi Abdu Maulid katika mkutano na waandishi wa habari


>>waziri wa nchi ofisi ya rais tamisemi amefanya ziara ya kushtukiza

>> kugundua kuwepo jipu lililoiva
ni baada ya kukuta barua ya afsa elimu ikimuelekeza mwalimu mkuu kuchangisha michango kwa wazazi

DODOMA


WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi George Simbachawene amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote Nchini Kuusoma kwa kuurudia ili wauelewe Waraka No 6 wa 2015 wa Serikali unaotoa ufafanuzi kuhusu Elimu Bure kuanzia Awali mpaka kidato cha Nne ili kuepuka kufukuzwa kazi.


Waziri huyo aliitoa kauli hiyo kwenye shule ya msingi ya Dodoma Makulu alipofanya ziara ya kustukiza mara baada ya kupata taarifa kuwa mwalimu mkuu wa shule hiyo Janeth Justine aliitisha wazazi na kuwaagiza kutoa michango mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi.



Chawene alisema alipofika shuleni hapo alikuta  tayari mwalimu mkuu amepokea fedha Toka  serikalini 1052,000  zilizotolewa kwa ajili ya matumizi ya mwezi januari na bado hazijatumika lakini tayari wameshaanza kufanya mipango ya kukusanya fedha kwa ajili ya Umeme, Maji na mlinzi toka kwa wazazi.



Alisema alilazimika kufika katika shule hiyo ili kuweza kujionea Dhana ya Elimu Bale na kuona jinsi Fedha hizo zinavyotumika na alipomuuliza mwalimu kuhusu Garama za maji, Umeme na mlinzi akajibiwa kuwa haizidi laki mbili lakini anashangazwa na kitendo hicho kinachofanywa na baadhi ya maofisa wa serikali ngazi ya Wilaya.



“Ninyi wenyewe mmejionea kwa mwalimu kuwa ameshapokea zaidi ya milioni moja na badara ya kufikilia jinsi ya kuzitumia lakini wao wana mawasiliano na ofisi ya mkurugenzi wa manispaa ambayo imewaandikia barua yenye maelekezo ya kuwachangisha wazazi fedha



Na katika hili niseme tu kuwa hawa watendaji wameshindwa pengine kutafri waraka wa serikali no 6 wa mwaka 2015 unaotaka kila mwanafunzi asome bure mpaka ngazi iliyoainishwa lakini kwa makusudi kuna watu hawataki kuunga mkono juhidi za serikali badara yake wanakiuka kwa makusudi maelekezo yaliyopo, nasema katika hili lazima tutachukua hatua kali na kabla ya hapo ni lazima nijilizishe kuwa nani na nani ni wahusika ndiyo nichukue hatua”, alisema



 Awali mwalimu mkuu wa Shule hiyo Janeth Justine alisema aliitisha kikao cha wazazi ambacho aliwataka kucha fedha za Maji, Umeme na Mlinzi ambacho kiliendeshwa na Diwani kama mwenyekiti na pia Afsa mtendaji wa Kata ambacho anasema alipata maelekezo toka ofisi ya mkurugenzi huku akionyesha barua iliyotoka kwa afsa Elimu Msingi wa Manispaa.


“nilijua kuwa Fedha hizi ndizo zinatosha kuendeshea shule kutokana na maelekezo yaliyopo lakini nikapokea barua hiyo yenye maelekezo ya kukutana na wazazi ili tukubaliane nini cha kuchangia shuleni hapo, barua hii hapa na mimi nilisema lazima waniandikie kama uthibitisho ili kikitokea chochote iweze kunisaidia”, alisema.


Mapema wakati msafara wa Waziri Chawene ukiingia shuleni hapo wanafunzi walikuwa madarasani huku kukiwa hakuna mwalimu anayefanya chochote lakini dakika chache baadae kila darasa lilikuwa Bize kwa walimu wote kutoka kwenye Ofisi yao na kuanza kufundisha ambapo mwalimu Mariamu Andrew anayefundishia la kwanza chini ya mti alikazana tofaiti na wenzake waliokuwa madarasani 


Imeandaliwa na John Banda

imehaririwa na denice kazenzele

23/january/2016 

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / ELIMU BURE KIZUNGUMKUTI MANISPAA YA DODOMA


Tangazo lililopo kwenye ukuta wa ofisi ya Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Dodoma Makulu Janeth Justine
Waziri wa Tamisemi Akishuka kwenye Gari alipofanya ziara ya kushtukiza katika shule ya msingi Dodoma makulu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi George Simbachawene akiongea na waandishi habari mjini Dodoma

Waziri Chawene na Mkurugenzi wa Elimu Msingi Abdu Maulid katika mkutano na waandishi wa habari


>>waziri wa nchi ofisi ya rais tamisemi amefanya ziara ya kushtukiza

>> kugundua kuwepo jipu lililoiva
ni baada ya kukuta barua ya afsa elimu ikimuelekeza mwalimu mkuu kuchangisha michango kwa wazazi

DODOMA


WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi George Simbachawene amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote Nchini Kuusoma kwa kuurudia ili wauelewe Waraka No 6 wa 2015 wa Serikali unaotoa ufafanuzi kuhusu Elimu Bure kuanzia Awali mpaka kidato cha Nne ili kuepuka kufukuzwa kazi.


Waziri huyo aliitoa kauli hiyo kwenye shule ya msingi ya Dodoma Makulu alipofanya ziara ya kustukiza mara baada ya kupata taarifa kuwa mwalimu mkuu wa shule hiyo Janeth Justine aliitisha wazazi na kuwaagiza kutoa michango mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi.



Chawene alisema alipofika shuleni hapo alikuta  tayari mwalimu mkuu amepokea fedha Toka  serikalini 1052,000  zilizotolewa kwa ajili ya matumizi ya mwezi januari na bado hazijatumika lakini tayari wameshaanza kufanya mipango ya kukusanya fedha kwa ajili ya Umeme, Maji na mlinzi toka kwa wazazi.



Alisema alilazimika kufika katika shule hiyo ili kuweza kujionea Dhana ya Elimu Bale na kuona jinsi Fedha hizo zinavyotumika na alipomuuliza mwalimu kuhusu Garama za maji, Umeme na mlinzi akajibiwa kuwa haizidi laki mbili lakini anashangazwa na kitendo hicho kinachofanywa na baadhi ya maofisa wa serikali ngazi ya Wilaya.



“Ninyi wenyewe mmejionea kwa mwalimu kuwa ameshapokea zaidi ya milioni moja na badara ya kufikilia jinsi ya kuzitumia lakini wao wana mawasiliano na ofisi ya mkurugenzi wa manispaa ambayo imewaandikia barua yenye maelekezo ya kuwachangisha wazazi fedha



Na katika hili niseme tu kuwa hawa watendaji wameshindwa pengine kutafri waraka wa serikali no 6 wa mwaka 2015 unaotaka kila mwanafunzi asome bure mpaka ngazi iliyoainishwa lakini kwa makusudi kuna watu hawataki kuunga mkono juhidi za serikali badara yake wanakiuka kwa makusudi maelekezo yaliyopo, nasema katika hili lazima tutachukua hatua kali na kabla ya hapo ni lazima nijilizishe kuwa nani na nani ni wahusika ndiyo nichukue hatua”, alisema



 Awali mwalimu mkuu wa Shule hiyo Janeth Justine alisema aliitisha kikao cha wazazi ambacho aliwataka kucha fedha za Maji, Umeme na Mlinzi ambacho kiliendeshwa na Diwani kama mwenyekiti na pia Afsa mtendaji wa Kata ambacho anasema alipata maelekezo toka ofisi ya mkurugenzi huku akionyesha barua iliyotoka kwa afsa Elimu Msingi wa Manispaa.


“nilijua kuwa Fedha hizi ndizo zinatosha kuendeshea shule kutokana na maelekezo yaliyopo lakini nikapokea barua hiyo yenye maelekezo ya kukutana na wazazi ili tukubaliane nini cha kuchangia shuleni hapo, barua hii hapa na mimi nilisema lazima waniandikie kama uthibitisho ili kikitokea chochote iweze kunisaidia”, alisema.


Mapema wakati msafara wa Waziri Chawene ukiingia shuleni hapo wanafunzi walikuwa madarasani huku kukiwa hakuna mwalimu anayefanya chochote lakini dakika chache baadae kila darasa lilikuwa Bize kwa walimu wote kutoka kwenye Ofisi yao na kuanza kufundisha ambapo mwalimu Mariamu Andrew anayefundishia la kwanza chini ya mti alikazana tofaiti na wenzake waliokuwa madarasani 


Imeandaliwa na John Banda

imehaririwa na denice kazenzele

23/january/2016 

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :