Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » KAMA ULIKUWA HUJUI, NAKUKUMBUSHA KUWA NI IJUMAA YA TAREHE 4 PALEEEEEE ROYAL VILAGE NI USIKU WA MIKITO YA PWANI...UNAKOSAJE MKAZI WA DODOMA????
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Zimepita nyingi ila hii ndo kiboko ya uchafu wala si ya utani ni ya tende na haluwa utam mpaka kisogoni usiku wa mikito ya pwani na kichuna mutoto ya moro ndani ya 103.7 RASI FM RADIO  itakuwa siku ya ijumaa tarehe 4 mwezi wa 3 paleeeee royal village kwa mtonyo wa buku ten tu ukinunua mlangoni ukiwahi mtaani kwako au ukifika Rasi fm utaipata tiketi hiyo hiyo kwa kiasi cha buku saba pekee,,,, njoo tujiachie,tujirushe kisha tuandae wa kutudaka kama atakuwa karibu yako na hapa utakutana na malkia wa mipasho akiongozana na kundi lake zima huku pia nyuma yake akiwepo Mtoto wa malkia yaani Prince Black Koppa na kundi lao ziiiiiiiiiiiiiiiiiima la ogopa kopa classic band. 
 
Msaga sumu pia atajikuta akitamani kulala stejini kwa jinsi alivyojipanga kukupagawisha siku hiyo. 
 
Mchafu hachafuki ha!ha! ha! usingoje kuhadithiwa kwani siku hiyo malkia khadijakopa atawashusha wale wanojigamba nakusema mjii huu ni wao bac siku hiyo jike_lachui {Hanifa Maurid} litakuja kuwaomba hatimiliki zao lakini shadya shombe babyyyyy ataonyesha wale waanzao na wakashindwa kuvuma ha!ha!ha! prince blackkopa atamuonesha yule mwenye maslahi kwake lakini kichuna mutoto ya moro@mwajumalasma atatukaribisha mjini dodoma usikose.                       

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / KAMA ULIKUWA HUJUI, NAKUKUMBUSHA KUWA NI IJUMAA YA TAREHE 4 PALEEEEEE ROYAL VILAGE NI USIKU WA MIKITO YA PWANI...UNAKOSAJE MKAZI WA DODOMA????


Zimepita nyingi ila hii ndo kiboko ya uchafu wala si ya utani ni ya tende na haluwa utam mpaka kisogoni usiku wa mikito ya pwani na kichuna mutoto ya moro ndani ya 103.7 RASI FM RADIO  itakuwa siku ya ijumaa tarehe 4 mwezi wa 3 paleeeee royal village kwa mtonyo wa buku ten tu ukinunua mlangoni ukiwahi mtaani kwako au ukifika Rasi fm utaipata tiketi hiyo hiyo kwa kiasi cha buku saba pekee,,,, njoo tujiachie,tujirushe kisha tuandae wa kutudaka kama atakuwa karibu yako na hapa utakutana na malkia wa mipasho akiongozana na kundi lake zima huku pia nyuma yake akiwepo Mtoto wa malkia yaani Prince Black Koppa na kundi lao ziiiiiiiiiiiiiiiiiima la ogopa kopa classic band. 
 
Msaga sumu pia atajikuta akitamani kulala stejini kwa jinsi alivyojipanga kukupagawisha siku hiyo. 
 
Mchafu hachafuki ha!ha! ha! usingoje kuhadithiwa kwani siku hiyo malkia khadijakopa atawashusha wale wanojigamba nakusema mjii huu ni wao bac siku hiyo jike_lachui {Hanifa Maurid} litakuja kuwaomba hatimiliki zao lakini shadya shombe babyyyyy ataonyesha wale waanzao na wakashindwa kuvuma ha!ha!ha! prince blackkopa atamuonesha yule mwenye maslahi kwake lakini kichuna mutoto ya moro@mwajumalasma atatukaribisha mjini dodoma usikose.                       

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :