Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » RAIS ZUMA MATATANI KWA MARA NYINGINE
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ameshtumiwa kwa kutoa matamshi yanayowabagua wanawake kijinsia.
Chama cha upinzani nchini Afrika Kusini kinadai kuwa Zuma aliwadhalilisha waandishi wanawake juma lililopita aliposema kuwa ni vigumu kwa wanaume siku hizi kuwatambua wanawake warembo.
Nikisema kuwa wewe ni mrembo katika ulimwengu huu wa wazungu unajitia katika hatari ya kushtakiwa kwa kumdhalilisha mwanamke ''
Itakuwaje ?
''Zamani ningekueleza 'Gqezu, Gqezu ntomazane! Nongenazo izinkomo uyayidla inyama',"
Tafsiri ya Zulu kuwa ,''Japo sina mali ya kutosha ya kugharamia malipo ya mahari, naomba nikuoe'' jarida la News24 linamnukuu rais huyo.
''Kama mngeturuhusu tuwatambue,bila shaka hata hawa walinzi wangu wangewaeleza jinsi mlivyo warembo.''
''Lakini sikuhizi thubutu, utashtakiwa hapa kwa kumdhulumu mwanamke wa wenyewe kijinsia''
''Mtawakosa wanaume wazuri sana wenye nia ya kuwaoa eti kwa sababu ya haki zenu za msingi'' alisema Zuma akicheka.
Yamkini Zuma,mwenye wake 4 alitoa matamshi hayo akiambatana na mkewe, Tobeka Madiba Zuma,na mwanaye mwenye umri wa miaka 8 katika hafla hiyo ya kuwahamasisha wapiga kura kujiandikisha katika maeneo ya KwaZulu-Natal.
Msemaji wa chama cha upinzani cha Democratic Alliance (DA) Phumzile Van Damme alituhumu Zuma kwa matamshi hayo.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / RAIS ZUMA MATATANI KWA MARA NYINGINE

Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ameshtumiwa kwa kutoa matamshi yanayowabagua wanawake kijinsia.
Chama cha upinzani nchini Afrika Kusini kinadai kuwa Zuma aliwadhalilisha waandishi wanawake juma lililopita aliposema kuwa ni vigumu kwa wanaume siku hizi kuwatambua wanawake warembo.
Nikisema kuwa wewe ni mrembo katika ulimwengu huu wa wazungu unajitia katika hatari ya kushtakiwa kwa kumdhalilisha mwanamke ''
Itakuwaje ?
''Zamani ningekueleza 'Gqezu, Gqezu ntomazane! Nongenazo izinkomo uyayidla inyama',"
Tafsiri ya Zulu kuwa ,''Japo sina mali ya kutosha ya kugharamia malipo ya mahari, naomba nikuoe'' jarida la News24 linamnukuu rais huyo.
''Kama mngeturuhusu tuwatambue,bila shaka hata hawa walinzi wangu wangewaeleza jinsi mlivyo warembo.''
''Lakini sikuhizi thubutu, utashtakiwa hapa kwa kumdhulumu mwanamke wa wenyewe kijinsia''
''Mtawakosa wanaume wazuri sana wenye nia ya kuwaoa eti kwa sababu ya haki zenu za msingi'' alisema Zuma akicheka.
Yamkini Zuma,mwenye wake 4 alitoa matamshi hayo akiambatana na mkewe, Tobeka Madiba Zuma,na mwanaye mwenye umri wa miaka 8 katika hafla hiyo ya kuwahamasisha wapiga kura kujiandikisha katika maeneo ya KwaZulu-Natal.
Msemaji wa chama cha upinzani cha Democratic Alliance (DA) Phumzile Van Damme alituhumu Zuma kwa matamshi hayo.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :