Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » WATUMIAJI WA MMEA WA BANGI WAKUTANA ISRAEL
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Wataalamu wanaohusika na matumizi ya bangi kama dawa wanakutana Israel kujadili uvumbuzi zaidi katika kilichokuwa sekta yenye thamani ya mabilioni ya dola duniani.
Hayo ndiyo maazimio ya Canna-Tech inayojumuisha wawekezaji, wakulima halali na watumizi wa bangi kama dawa.
Uwekezaji katika sekta hiyo umekuwa kwa kasi ya juu mno kufuatia uhalalishwa kwa bangi katika majimbo kadhaa nchini Marekani.
Nchini Israeli sekta hiyo ya bangi halali imefunguka na inaelekea kukua kufuatia utafiti na uwekezaji mkubwa.
Afisa mmoja anayesimamia utafiti huo Saul Kaye anasema
''Wagonjwa ni watu wanaopata matibabu ya maradhi ambayo yanapatikana baada ya kutumia kemikali yenye madhara kama vile ugonjwa wa Saratani.


Watu hao ni wale wanaougua ugonjwa wa kusahau, ugonjwa wa Crohn, na wale walio na msongo wa mawazo au mfadhaiko.
Bangi inaweza kusaidia matatizo kama hayo, na bado hatujajua manufaa mengine.
Utafiti unahitajika zaidi, jambo ambalo Israeli inaendelea kuchunguza hasa katika ngazi ya shirikisho
Kwa sasa, kuna utafiti zaidi ya 36 unaoendelea katika hospitali nchini Israeli. ''
Biashara hii ya bangi iliyoanzishwa kwa njia ya soko la magendo, na wafanyibiashara wa awali walitokea hapo.
Lakini kuna kampuni mahususi ya uundaji madawa, katika soko la hisa la Wall Street Marekani sasa yanaangazia biashara ya bangi, hapo ndipo tunaivalia njuga, na bila shaka tunaanza kubadili mtizamo kuhusiana na biashara ya bangi.'' alisema Kaye.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / WATUMIAJI WA MMEA WA BANGI WAKUTANA ISRAEL

Wataalamu wanaohusika na matumizi ya bangi kama dawa wanakutana Israel kujadili uvumbuzi zaidi katika kilichokuwa sekta yenye thamani ya mabilioni ya dola duniani.
Hayo ndiyo maazimio ya Canna-Tech inayojumuisha wawekezaji, wakulima halali na watumizi wa bangi kama dawa.
Uwekezaji katika sekta hiyo umekuwa kwa kasi ya juu mno kufuatia uhalalishwa kwa bangi katika majimbo kadhaa nchini Marekani.
Nchini Israeli sekta hiyo ya bangi halali imefunguka na inaelekea kukua kufuatia utafiti na uwekezaji mkubwa.
Afisa mmoja anayesimamia utafiti huo Saul Kaye anasema
''Wagonjwa ni watu wanaopata matibabu ya maradhi ambayo yanapatikana baada ya kutumia kemikali yenye madhara kama vile ugonjwa wa Saratani.


Watu hao ni wale wanaougua ugonjwa wa kusahau, ugonjwa wa Crohn, na wale walio na msongo wa mawazo au mfadhaiko.
Bangi inaweza kusaidia matatizo kama hayo, na bado hatujajua manufaa mengine.
Utafiti unahitajika zaidi, jambo ambalo Israeli inaendelea kuchunguza hasa katika ngazi ya shirikisho
Kwa sasa, kuna utafiti zaidi ya 36 unaoendelea katika hospitali nchini Israeli. ''
Biashara hii ya bangi iliyoanzishwa kwa njia ya soko la magendo, na wafanyibiashara wa awali walitokea hapo.
Lakini kuna kampuni mahususi ya uundaji madawa, katika soko la hisa la Wall Street Marekani sasa yanaangazia biashara ya bangi, hapo ndipo tunaivalia njuga, na bila shaka tunaanza kubadili mtizamo kuhusiana na biashara ya bangi.'' alisema Kaye.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :