Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » PICHA ZAIDI YA MIA MOJA ZA MATUKIO YA JANA KWENYE MECHI YA KIRAFIKI KATI YA POLISI DODOMA NA SIMBA SC
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Kikosi cha Polis Dodoma

Jana jumamosi kulikuwa na mechi ya kirafiki kati ya wenyeji Polisi Dodoma na Simba sc kutoka jijini Dar es salaam, ambapo Polisi mbele ya mashabiki wake wachache walikubali kipigo mbele ya wageni wenye mashabiki wengi zaidi ya nusu ya uwanja wa Jamhuri mkoani hapa {dodoma}.

Polisi Dodoma walikubali kipigo kwa magoli mawili kwa kiulizo, magoli ya Abdi Banda na Said Ndemla.

hizi ni picha zaidi ya mia moj ahivi za matukio nakuwekea hapa na zitazame>>>>>>>>
Kikosi cha Simba SC



Mashabiki na wapenda soka wakitafakari waingie vipi, hasa wale wasio na mkwanja





Sehemu ya mashabiki waliofurika




Moja ya kundi la washangiliaji wa Simba










Afisa habari wa Simba Haji Manara akimuongoza Naibu Spika wa Bunge Mh.Tulia 



Waziri wa Habari, Utamaduni na michezo Mh. Nape Nnauye akisalimiana na Benchi la ufundi la Simba SC 
























  



































































 






Abdi Banda wa Simba sc akishangilia goli la kwanza



Abdi Banda na wenzake wa Simba sc wakishangilia goli la kwanza




Ki-shkaji, Manyika Junior akimpongeza mshkaji wake Banda baada y akufunga Goli la kwanza




wachezaji wa simba wakimpongeza Said Ndemla baada ya kufunga goli zuri kwa simba na likiwa ni goli la pili katika mchezo huo.







 

fear play baada ya mechi












About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / PICHA ZAIDI YA MIA MOJA ZA MATUKIO YA JANA KWENYE MECHI YA KIRAFIKI KATI YA POLISI DODOMA NA SIMBA SC

Kikosi cha Polis Dodoma

Jana jumamosi kulikuwa na mechi ya kirafiki kati ya wenyeji Polisi Dodoma na Simba sc kutoka jijini Dar es salaam, ambapo Polisi mbele ya mashabiki wake wachache walikubali kipigo mbele ya wageni wenye mashabiki wengi zaidi ya nusu ya uwanja wa Jamhuri mkoani hapa {dodoma}.

Polisi Dodoma walikubali kipigo kwa magoli mawili kwa kiulizo, magoli ya Abdi Banda na Said Ndemla.

hizi ni picha zaidi ya mia moj ahivi za matukio nakuwekea hapa na zitazame>>>>>>>>
Kikosi cha Simba SC



Mashabiki na wapenda soka wakitafakari waingie vipi, hasa wale wasio na mkwanja





Sehemu ya mashabiki waliofurika




Moja ya kundi la washangiliaji wa Simba










Afisa habari wa Simba Haji Manara akimuongoza Naibu Spika wa Bunge Mh.Tulia 



Waziri wa Habari, Utamaduni na michezo Mh. Nape Nnauye akisalimiana na Benchi la ufundi la Simba SC 
























  



































































 






Abdi Banda wa Simba sc akishangilia goli la kwanza



Abdi Banda na wenzake wa Simba sc wakishangilia goli la kwanza




Ki-shkaji, Manyika Junior akimpongeza mshkaji wake Banda baada y akufunga Goli la kwanza




wachezaji wa simba wakimpongeza Said Ndemla baada ya kufunga goli zuri kwa simba na likiwa ni goli la pili katika mchezo huo.







 

fear play baada ya mechi













«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :