Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » UNAWAFAHAMU WAMILIKI WA TIMU ZA EPL? WAFAHAMU KWA KUPITIA HAPA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Ligi Kuu England kuna timu 20, kati ya hizo nane zinamilikiwa na wafanyabiashara kutoka England na 12 zilizobaki ni wafanyabiashara kutoka nchi mbalimbali dunia.

Wamarekani wanamiliki timu nane zikiwemo Manchester United na Arsenal huku Warusi wakifuatia kwa kumiliki timu mbili ambazo ni Chelsea na Bornemouth.

Inawezekana ndani ya klabu kukawa na wamiliki wengine, lakini wanaotajwa ni wale wenye hisa kubwa zaidi ambao huitwa wamiliki wakuu.

England (8)
Crystal Palace (Steve Parish), Everton (Bill Kenwright), Newcastle (Mike Ashley), Norwich (Delia Smith & Michael Wynn-Jones — England/Wales), Stoke (Coates family), Tottenham (Joe Lewis), West Brom (Jeremy Peace), West Ham (David Sullivan & David Gold)

Marekani (5):
Arsenal (Stan Kroenke), Aston Villa (Randy Lerner), Liverpool (John W Henry) Man Utd (Glazer family), Sunderland (Ellis Short).

Russia (2):
 Bournemouth (Maxim Demin), Chelsea (Roman Abramovich).

Wales (1) Swansea (Morgan family)
Italy (1) Watford (Gino Pozzo).
Switzerland (1) Southampton (Katharina Liebherr).
Thailand (1) Leicester (Srivaddhanaprabha family).
UAE (1) Man City (Sheik Mansour).

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / UNAWAFAHAMU WAMILIKI WA TIMU ZA EPL? WAFAHAMU KWA KUPITIA HAPA

Ligi Kuu England kuna timu 20, kati ya hizo nane zinamilikiwa na wafanyabiashara kutoka England na 12 zilizobaki ni wafanyabiashara kutoka nchi mbalimbali dunia.

Wamarekani wanamiliki timu nane zikiwemo Manchester United na Arsenal huku Warusi wakifuatia kwa kumiliki timu mbili ambazo ni Chelsea na Bornemouth.

Inawezekana ndani ya klabu kukawa na wamiliki wengine, lakini wanaotajwa ni wale wenye hisa kubwa zaidi ambao huitwa wamiliki wakuu.

England (8)
Crystal Palace (Steve Parish), Everton (Bill Kenwright), Newcastle (Mike Ashley), Norwich (Delia Smith & Michael Wynn-Jones — England/Wales), Stoke (Coates family), Tottenham (Joe Lewis), West Brom (Jeremy Peace), West Ham (David Sullivan & David Gold)

Marekani (5):
Arsenal (Stan Kroenke), Aston Villa (Randy Lerner), Liverpool (John W Henry) Man Utd (Glazer family), Sunderland (Ellis Short).

Russia (2):
 Bournemouth (Maxim Demin), Chelsea (Roman Abramovich).

Wales (1) Swansea (Morgan family)
Italy (1) Watford (Gino Pozzo).
Switzerland (1) Southampton (Katharina Liebherr).
Thailand (1) Leicester (Srivaddhanaprabha family).
UAE (1) Man City (Sheik Mansour).

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :