Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » BIG SAM KOCHA MPYA CRYSTAL PALACE, RATIBA YA KUFUNGA NA KUFUNGUA MWAKA EPL HII HAPA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Crystal Palace wamemteua Sam Allardyce kuwa Meneja wao mpya baada ya kumtimua Alan Pardew.
Pardew, ambae alikuwa Palace tangu Januari 2015, alitimuliwa Alhamisi akiiacha Timu ikiwa Nafasi ya 17 kwenye EPL, Ligi Kuu Vodacom.
Mechi ya kwanza kwa Sam Allardyce itakuwa Jumatatu Ugenini na Watford.
Akiongea baada ya uteuzi wake, Allardyce amesema: "Natumai tutaleta furaha hasa kipindi hiki cha Krismasi na Mswaka Mpya na pia kwa muda mrefu!”
Allardyce amekuwa hana kazi tangu mwishoni mwa Septemba baada ya kuacha kazi ya Umeneja wa Timu ya Taifa ya England alikokaa kwa Siku 67 tu.
EPL, LIGI KUU ENGLAND
Ratiba kufunga mwaka 2016 na kufungua mwaka 2017
{kufunga mwaka}
Jumatatu Desemba 26
1530 Watford v Crystal Palace              
1800 Arsenal v West Bromwich Albion            
1800 Burnley v Middlesbrough              
1800 Chelsea v Bournemouth               
1800 Leicester City v Everton               
1800 Manchester United v Sunderland            
1800 Swansea City v West Ham United           
2015 Hull City v Manchester City          
Jumanne Desemba 27
2015 Liverpool v Stoke City                  
Jumatano Desemba 28
2245 Southampton v Tottenham Hotspur                  
Ijumaa Desemba 30
2300 Hull City v Everton             
Jumamosi Desemba 31
1800 Burnley v Sunderland         
1800 Chelsea v Stoke City          
1800 Leicester City v West Ham United           
1800 Manchester United v Middlesbrough                 
1800 Southampton v West Bromwich Albion              
1800 Swansea City v Bournemouth                 
2030 Liverpool v Manchester City         

*********************************************

{kufungua mwaka}
Jumapili Januari 1
1630 Watford v Tottenham Hotspur                
1900 Arsenal v Crystal Palace               
Jumatatu Januari 2
1530 Middlesbrough v Leicester City               
1800 Everton v Southampton               
1800 Manchester City v Burnley            
1800 Sunderland v Liverpool                
1800 West Bromwich Albion v Hull City           
2015 West Ham United v Manchester United             
Jumanne Januari 3
2245 Bournemouth v Arsenal                
2300 Crystal Palace v Swansea City                
2300 Stoke City v Watford 20:00
Jumatano Januari 4
2300 Tottenham Hotspur v Chelsea                 

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / BIG SAM KOCHA MPYA CRYSTAL PALACE, RATIBA YA KUFUNGA NA KUFUNGUA MWAKA EPL HII HAPA

Crystal Palace wamemteua Sam Allardyce kuwa Meneja wao mpya baada ya kumtimua Alan Pardew.
Pardew, ambae alikuwa Palace tangu Januari 2015, alitimuliwa Alhamisi akiiacha Timu ikiwa Nafasi ya 17 kwenye EPL, Ligi Kuu Vodacom.
Mechi ya kwanza kwa Sam Allardyce itakuwa Jumatatu Ugenini na Watford.
Akiongea baada ya uteuzi wake, Allardyce amesema: "Natumai tutaleta furaha hasa kipindi hiki cha Krismasi na Mswaka Mpya na pia kwa muda mrefu!”
Allardyce amekuwa hana kazi tangu mwishoni mwa Septemba baada ya kuacha kazi ya Umeneja wa Timu ya Taifa ya England alikokaa kwa Siku 67 tu.
EPL, LIGI KUU ENGLAND
Ratiba kufunga mwaka 2016 na kufungua mwaka 2017
{kufunga mwaka}
Jumatatu Desemba 26
1530 Watford v Crystal Palace              
1800 Arsenal v West Bromwich Albion            
1800 Burnley v Middlesbrough              
1800 Chelsea v Bournemouth               
1800 Leicester City v Everton               
1800 Manchester United v Sunderland            
1800 Swansea City v West Ham United           
2015 Hull City v Manchester City          
Jumanne Desemba 27
2015 Liverpool v Stoke City                  
Jumatano Desemba 28
2245 Southampton v Tottenham Hotspur                  
Ijumaa Desemba 30
2300 Hull City v Everton             
Jumamosi Desemba 31
1800 Burnley v Sunderland         
1800 Chelsea v Stoke City          
1800 Leicester City v West Ham United           
1800 Manchester United v Middlesbrough                 
1800 Southampton v West Bromwich Albion              
1800 Swansea City v Bournemouth                 
2030 Liverpool v Manchester City         

*********************************************

{kufungua mwaka}
Jumapili Januari 1
1630 Watford v Tottenham Hotspur                
1900 Arsenal v Crystal Palace               
Jumatatu Januari 2
1530 Middlesbrough v Leicester City               
1800 Everton v Southampton               
1800 Manchester City v Burnley            
1800 Sunderland v Liverpool                
1800 West Bromwich Albion v Hull City           
2015 West Ham United v Manchester United             
Jumanne Januari 3
2245 Bournemouth v Arsenal                
2300 Crystal Palace v Swansea City                
2300 Stoke City v Watford 20:00
Jumatano Januari 4
2300 Tottenham Hotspur v Chelsea                 

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :