Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » KABILA ATAKUWA MADARAKANI HADI 2017
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Wapatanishi katika Jamhuri wa Kidemokrasia ya Congo, wameandaa mwafaka wa kuhakikisha kuwa madaraka yanapokezwa kwa njia ya amani.
Mashauriano yaliyoandaliwa na Kanisa Katoliki, yanafuatia kukataa kwa Rais Joseph Kabila, kuondoka madarakani baada ya utawala wake wa mihula miwili kukamilika.
Chini ya mapatano hayo Rais Kabila ataendelea kuwa Rais hadi wakati wa uchaguzi ifikapo mwisho wa mwaka ujao.
Waziri Mkuu mpya atachaguliwa kutoka kwa upande wa upinzani na mpango huo utasimamiwa na mkongwe wa upinzani, Etienne Tshisekedi.
Mwandishi wa habari wa BBC, alisema kuwa ingawa kuna ripoti kuwa pande kinzani zimekubaliana kwa maswala fulani, haiwezekani sahihi za mkataba huo kutiwa sahihi kabla Krismasi.
Kukataa kwa Bwana Kabila kuondoka madarakani na kuahirishwa kwa uchaguzi kumesababisha maandamano makali katika barabara kuu za miji nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / KABILA ATAKUWA MADARAKANI HADI 2017

Wapatanishi katika Jamhuri wa Kidemokrasia ya Congo, wameandaa mwafaka wa kuhakikisha kuwa madaraka yanapokezwa kwa njia ya amani.
Mashauriano yaliyoandaliwa na Kanisa Katoliki, yanafuatia kukataa kwa Rais Joseph Kabila, kuondoka madarakani baada ya utawala wake wa mihula miwili kukamilika.
Chini ya mapatano hayo Rais Kabila ataendelea kuwa Rais hadi wakati wa uchaguzi ifikapo mwisho wa mwaka ujao.
Waziri Mkuu mpya atachaguliwa kutoka kwa upande wa upinzani na mpango huo utasimamiwa na mkongwe wa upinzani, Etienne Tshisekedi.
Mwandishi wa habari wa BBC, alisema kuwa ingawa kuna ripoti kuwa pande kinzani zimekubaliana kwa maswala fulani, haiwezekani sahihi za mkataba huo kutiwa sahihi kabla Krismasi.
Kukataa kwa Bwana Kabila kuondoka madarakani na kuahirishwa kwa uchaguzi kumesababisha maandamano makali katika barabara kuu za miji nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :