Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » UTATA ULIOPO KUHUSU MSHAHARA WA SANCHEZ ARSENAL
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Kwa sasa moja ya midahalo inayoendelea kwenye ulimwengu wa michezo ni kuhusu mshahara mpya wa Sanchez ambae labda anaweza ku sign mkataba mpya na Arsenal hivi karibuni kama wakikubaliana.
Sasa kitu cha msingi ambacho kitaamua mkataba huo bila shaka ni mshahara wake. 
Tusizunguke sana kwa kusikiliza maneno ya kusema kwamba anapapenda Arsenal au hapapendi. 
Kama angekua hapapendi angesha sepa. 
Sasa kilichobaki ni uhakika wa pesa zitakazomridhisha na mkataba usainiwe.
Gazeti la The Sun limeandikwa kwamba Sanchez anataka pound laki tatu ili asaini mkataba mpya. 
Habari hizo zimetoka leo zikiweka mkazo kwamba kutokana na dau la kutoka China linawapa jeuri watu wa Sanchez kudai mshahara mzuri kwa mchezaji wao.
Wiki iliyopita Sanchez alipokea ofa ya Pound laki tano kutoka timu ya China Super League ili ajiunge na ligi hiyo. 
Mshahara huo ni mara mbili ya mshahara ambao labda atapewa na Arsenal ambao ni pound laki mbili na nusu.
Huu ni wakati mgumu kidogo kwa board ya Arsenal ambao ni maarufu kwa kutoa mshahara kidogo tofauti na timu nyingine kubwa. 
Changamoto inakuja pale mchezaji kama Sanchez alivyo kwenye form nzuri kwa sasa.
Kucheza ni namna moj ana maslahi ni namna ya pili, sisi ni mashabiki ngoja tuone nini atakachoamua mwenye maamuzi.
Credit:Shaffihdauda.com

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / UTATA ULIOPO KUHUSU MSHAHARA WA SANCHEZ ARSENAL


Kwa sasa moja ya midahalo inayoendelea kwenye ulimwengu wa michezo ni kuhusu mshahara mpya wa Sanchez ambae labda anaweza ku sign mkataba mpya na Arsenal hivi karibuni kama wakikubaliana.
Sasa kitu cha msingi ambacho kitaamua mkataba huo bila shaka ni mshahara wake. 
Tusizunguke sana kwa kusikiliza maneno ya kusema kwamba anapapenda Arsenal au hapapendi. 
Kama angekua hapapendi angesha sepa. 
Sasa kilichobaki ni uhakika wa pesa zitakazomridhisha na mkataba usainiwe.
Gazeti la The Sun limeandikwa kwamba Sanchez anataka pound laki tatu ili asaini mkataba mpya. 
Habari hizo zimetoka leo zikiweka mkazo kwamba kutokana na dau la kutoka China linawapa jeuri watu wa Sanchez kudai mshahara mzuri kwa mchezaji wao.
Wiki iliyopita Sanchez alipokea ofa ya Pound laki tano kutoka timu ya China Super League ili ajiunge na ligi hiyo. 
Mshahara huo ni mara mbili ya mshahara ambao labda atapewa na Arsenal ambao ni pound laki mbili na nusu.
Huu ni wakati mgumu kidogo kwa board ya Arsenal ambao ni maarufu kwa kutoa mshahara kidogo tofauti na timu nyingine kubwa. 
Changamoto inakuja pale mchezaji kama Sanchez alivyo kwenye form nzuri kwa sasa.
Kucheza ni namna moj ana maslahi ni namna ya pili, sisi ni mashabiki ngoja tuone nini atakachoamua mwenye maamuzi.
Credit:Shaffihdauda.com

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :