Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » WAASI WACHOMA MABASI YA UOKOAJI WATU SYRIA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post


Mabasi kadhaa yaliokuwa yakielekea kuwaokoa wagonjwa na watu waliojeruhiwa katika kijiji kinachomilikiwa na serikali katika mkoa wa Idlib nchini Syria yamechomwa na waasi.

Msafara huo ulikuwa ukielekea Foah na Kefraya maeneo yaliozungukwa na waasi.

Vikosi vinavyounga mkono serikali vinataka watu kuruhusiwa kuondoka katika kijiji cha Shia ili uokozi wa watu waliopo Allepo uanze.

Maelfu ya watu wanatarajia kuondoka .

Mpango wa awali wa kuwaondosha watu mashariki mwa Aleppo ulifeli siku ya Ijumaa, ukiwaacha raia wakiwa wamekwama katika vituo tofauti bila chakula na makao.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / WAASI WACHOMA MABASI YA UOKOAJI WATU SYRIA


Mabasi kadhaa yaliokuwa yakielekea kuwaokoa wagonjwa na watu waliojeruhiwa katika kijiji kinachomilikiwa na serikali katika mkoa wa Idlib nchini Syria yamechomwa na waasi.

Msafara huo ulikuwa ukielekea Foah na Kefraya maeneo yaliozungukwa na waasi.

Vikosi vinavyounga mkono serikali vinataka watu kuruhusiwa kuondoka katika kijiji cha Shia ili uokozi wa watu waliopo Allepo uanze.

Maelfu ya watu wanatarajia kuondoka .

Mpango wa awali wa kuwaondosha watu mashariki mwa Aleppo ulifeli siku ya Ijumaa, ukiwaacha raia wakiwa wamekwama katika vituo tofauti bila chakula na makao.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :