Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » RAIS UHURU KENYATTA KAAPISHWA, AAHIDI KUIUNGANISHA KENYA
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameahidi kuunganisha taifa hilo katika muhula wake wa pili uongozini baada ya kuapishwa katika sherehe ambayo ilisusiwa na viongozi wa upinzani.

Akihutubu baada ya kula kiapo uwanjani Kasarani, Nairobi kiongozi huyo alisema ameyasikia baadhi ya mapendekezo ya upinzani na atazingatia baadhi.


Hata hivyo aliwahimiza viongozi wa upinzani kuheshimu sheria na katiba ya nchi hiyo.


Muungano wa upinzani, ambao ulisusia uchaguzi wa marudio tarehe 26 Oktoba, ulikuwa umepanga mkutano wa hadhara kuombolewa wafuasi wa muungano huo ambao wameuawa katika makabiliano na maafisa wa polisi.


Mkutano huo haukufanyika kama ulivyopangwa katika uwanja wa Jacaranda, lakini kiongozi wa National Super Alliance Raila Odinga akihutubia wafuasi wake karibu na uwanja huo alitangaza mpango wa kumuapisha kuwa rais mwezi ujao tarehe 12, wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Jamhuri.


Mtu mmoja alifariki kwenye makabiliano ya polisi na wafuasi wa upinzani leo.

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / RAIS UHURU KENYATTA KAAPISHWA, AAHIDI KUIUNGANISHA KENYA

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameahidi kuunganisha taifa hilo katika muhula wake wa pili uongozini baada ya kuapishwa katika sherehe ambayo ilisusiwa na viongozi wa upinzani.

Akihutubu baada ya kula kiapo uwanjani Kasarani, Nairobi kiongozi huyo alisema ameyasikia baadhi ya mapendekezo ya upinzani na atazingatia baadhi.


Hata hivyo aliwahimiza viongozi wa upinzani kuheshimu sheria na katiba ya nchi hiyo.


Muungano wa upinzani, ambao ulisusia uchaguzi wa marudio tarehe 26 Oktoba, ulikuwa umepanga mkutano wa hadhara kuombolewa wafuasi wa muungano huo ambao wameuawa katika makabiliano na maafisa wa polisi.


Mkutano huo haukufanyika kama ulivyopangwa katika uwanja wa Jacaranda, lakini kiongozi wa National Super Alliance Raila Odinga akihutubia wafuasi wake karibu na uwanja huo alitangaza mpango wa kumuapisha kuwa rais mwezi ujao tarehe 12, wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya Jamhuri.


Mtu mmoja alifariki kwenye makabiliano ya polisi na wafuasi wa upinzani leo.

«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :