Select Menu

function googleTranslateEl

HABARI KIMATAIFA

HABARI KITAIFA

Performance

Cute

My Place

MICHEZO

Racing

Videos

» » » HR MCMASTER: MAREKANI INAELEKEA KUKABILIANA NA KOREA KASKAZINI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post



HR McMaster

Mshauri wa masuala ya usalama wa Ikulu ya White House nchini Marekani, HR McMaster, amesema kuwa Marekani iko mbioni kukabiliana na tishio kutoka Korea Kaskazini

Uwezekano wa kutokea vita unaongezeka kila siku lakini vita sio suluhu pekee, aliuambia mkutano wa ulinzi.

Matamshi yake yanakuja siku tatu bqada ya Korea Kaskazini kufanya jaribio lake la kwanza la kombora la masafa marefu katika miezi miwili kinyume na vikwazo vya Umoja wa Mataifa.
Kombora hilo lilipaa mbali na makombora mengine ambayo yalijaribiwa awali kbala ya kuanguka katika bahari ya Japan.


HR McMaster ameitaka China kuiwekea vikwazo vya mafuta taifa hilo ili kufanya kuwa vigumu kwa Pyongyang kujaza mafuta makombora yanayofanyiwa majaribio.

Korea Kaskazini imeishutumu Marekani kwa kuchochea vita.
Imetaja zoezi la pamoja la kijeshi kati ya Korea kusini na Marekani kuwa la uchochezi na kwamba linaweza kusababisha vita.


About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

/ / / HR MCMASTER: MAREKANI INAELEKEA KUKABILIANA NA KOREA KASKAZINI



HR McMaster

Mshauri wa masuala ya usalama wa Ikulu ya White House nchini Marekani, HR McMaster, amesema kuwa Marekani iko mbioni kukabiliana na tishio kutoka Korea Kaskazini

Uwezekano wa kutokea vita unaongezeka kila siku lakini vita sio suluhu pekee, aliuambia mkutano wa ulinzi.

Matamshi yake yanakuja siku tatu bqada ya Korea Kaskazini kufanya jaribio lake la kwanza la kombora la masafa marefu katika miezi miwili kinyume na vikwazo vya Umoja wa Mataifa.
Kombora hilo lilipaa mbali na makombora mengine ambayo yalijaribiwa awali kbala ya kuanguka katika bahari ya Japan.


HR McMaster ameitaka China kuiwekea vikwazo vya mafuta taifa hilo ili kufanya kuwa vigumu kwa Pyongyang kujaza mafuta makombora yanayofanyiwa majaribio.

Korea Kaskazini imeishutumu Marekani kwa kuchochea vita.
Imetaja zoezi la pamoja la kijeshi kati ya Korea kusini na Marekani kuwa la uchochezi na kwamba linaweza kusababisha vita.



«
Next

Newer Post

»
Previous

Older Post

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments :